Scientists to Announce Ground Breaking Black Hole Photograph

Scientists to Announce Ground Breaking Black Hole Photograph

Unaonesha ulivomjinga tu ulienda shuleni kuuza sura. Earth is flat my foot.
Hata watu wa zamani science yetu wangesema ni fiction lakini siyo fiction ni facts kwa jamii yetu ya sasa.
Kwa jinsi uwezo wako wakufikiria ulivyo mdogo huwazi mbali zaidi kwahiyo sishangai haya maneno yako hapa.
Tujifunze namna gani ya kuweka mijadala. Mtu akileta jambo ambalo linakinzana na uelewa wako si kuanza kumnanga!

Sijui shule ulienda kuuza sura na mengineyo kama hayo! Ijapokuwa Dunia ni tufe, lakini baadhi ya ushahidi wa kile kilichotumika kuthibitisha umbile la Dunia, nyengine zimeonekana ni uongo ijapokua mwanzoni zilifanya kazi.

Wote tunajifunza! Kama wajumbe waliyosema Dunia ni flat; jawabu lingelikuwa ni rahisi tu. Ungelimuambia tulijadili! Alete ushahidi nawe ulete ushahidi.
 
Hii niliiona, science ya anga iko mbali sana. Na huwa naenjoy sana kuona wenzetu wanavyopambana kupata maarifa juu ya sayari zingine.

Ila kupata planet yenye kusupport life ndo kitendawili may be if mars ll b transformed.
 
Tujifunze namna gani ya kuweka mijadala. Mtu akileta jambo ambalo linakinzana na uelewa wako si kuanza kumnanga!
Sijui shule ulienda kuuza sura na mengineyo kama hayo! Ijapokuwa Dunia ni tufe, lakini baadhi ya ushahidi wa kile kilichotumika kuthibitisha umbile la Dunia, nyengine zimeonekana ni uongo ijapokua mwanzoni zilifanya kazi.
Wote tunajifunza! Kama wajumbe waliyosema Dunia ni flat; jawabu lingelikuwa ni rahisi tu. Ungelimuambia tulijadili! Alete ushahidi nawe ulete ushahidi.
😂😂 nijadiliane na mtu kwamba Earth sio flat?
Usinikaushe kizazi.
 
[emoji23][emoji23] nijadiliane na mtu kwamba Earth sio flat?
Usinikaushe kizazi.
Ili uweze kujadiliana na yoyote kuhusu hili nitakuuliza maswali machache tu nione mlengo wa uelewa wako..

1. Unaamini chanzo cha nishati duniani ni jua?
2. Unafaham ni mahala gani jua lipo katika mfumo wa jua??
3.Je kati ya jua na dunia kipi kinajongea?
4. Unafahamu nini kuhusu uwepo wa usiku na mchana?
5. Je Unafahamu ya kwamba muda huu (SAA 5:42pm GMT) kuna mahala fulani katika dunia hii ni usiku wa manane na Je Unafahamu ni kwa nini kuna huu utofauti??
6.


Ukiyajibu haya unaweza jadiliana kwa ufasaha kuhusu kama dunia ni flat or not??
 
😂😂 nijadiliane na mtu kwamba Earth sio flat?
Usinikaushe kizazi.
Na hilo ndiyo tatizo!

Kama NASA miongoni mwa mashirika ya tafiti ya anga yanayotegemewa yalitenga muda wake na kuwajibu jamii inayoamini Dunia ni tambarare pasipo kutoa kauli kama unazozitoa wewe inakupa taswira gani kichwani?

Na ufahamu vilevile wapo wanasayansi wanaofanya tafiti za anga na wanaamini Dunia ni tambarare.
 
Hahahaa siwezi kupoteza intellect yangu kumuelewesha mtu anaye sema the Earth is flat.
Unataka nioneshe uelewa gani ambao hata mtoto wa darasa la saba anajua.
Nyie ndo walewale.
Unaamini kile ulichofundishwa darasani, tumeclaim tu ila kiuhalisia kwa common sens ni vitu ambayo vipangana.

Ni sawa na kuambiwa binadamu wa kwanza akiishi miaka milion 3 na alitokana na sokwe kisha kipimo cha carbon 14 kikatoa hayo majibu.

Sio hivyo tu, bado kuna kitu chaitwa kirusi cha ukimwi, yapo mambo ambayo kiuhalisia ulimwengu unapotoshwa ila sio kusema sayansi inapotosha.

Sayansi inajua ukweli dunia ipoje, inajua ukweli kwa kila jambo ila ni tofauti na huku watu wanavyoletewa na kufundishwa.
 
Back
Top Bottom