Scientists to Announce Ground Breaking Black Hole Photograph

Scientists to Announce Ground Breaking Black Hole Photograph

Mission accomplished
1067985
 
Sio kweli mbona kuna mambo mengi tu yanaendelea na kuna debates kubwa zinaendelea na sayansi inabadilika kila siku. Shida yenu wa Tanzania hamfuatilii na hampendi kujifunza.
Sasa dadaangu ikiwa wewe umekariri tu kupitia mipandao hutaki watu wakupinge je hao wagunduzi hali ikoje? Tatizo kubwa la sayansi limetawaliwa na assumption. Sasa hayo yanayolekebishwa mwanzo tuliyaona yako sawa hivyo basi sayansi leo kitu kinaweza kuwa right kesho kikawa wrong. Newton alichana kazi nyingi sana za Hook
 
Sasa dadaangu ikiwa wewe umekariri tu kupitia mipandao hutaki watu wakupinge je hao wagunduzi hali ikoje? Tatizo kubwa la sayansi limetawaliwa na assumption. Sasa hayo yanayolekebishwa mwanzo tuliyaona yako sawa hivyo basi sayansi leo kitu kinaweza kuwa right kesho kikawa wrong. Newton alichana kazi nyingi sana za Hook
Naomba uniwie radhi mimi sikariri wewe ndio umekariri ndo maana umeandika ulichoandika hapa.
Cha pili sijakataza mtu kunipinga ila ukinipinga uje na hoja madhubuti zinazoeleweka sio stori za vijiweni. Hata huyo mkuu hapo juu alikuja na hoja yake nikamjibu.
Tatu unachokisema kwamba sayansi ina assumption nyingi ni kweli hata black hole ilikuwa ni assumption na ime proviwa right.
Hata Einstein alimpindua Newton.
Na ndo maana nikasema mengi yanaendelea kila uchao watu wanakuja na assumption nyingine zina proviwa wrong nyingine wanaziprove right nyingine wanaziacha wakisubiria teknolojia iendelee zaidi.
Ndo maana nikasema watu hawafuatilii alafu mtu anataka kubishana na mimi kwa flimsy point.
 
Unaonesha ulivomjinga tu ulienda shuleni kuuza sura. Earth is flat my foot.
Hata watu wa zamani science yetu wangesema ni fiction lakini siyo fiction ni facts kwa jamii yetu ya sasa.
Kwa jinsi uwezo wako wakufikiria ulivyo mdogo huwazi mbali zaidi kwahiyo sishangai haya maneno yako hapa.
Hahaha jamaa anasema earth ni flat

Hahahah
 
Back
Top Bottom