kaxoghur7
Member
- May 27, 2016
- 60
- 20
Ndugu kuna uwezekano wa mwanafunzi 4m 4 failure.. Mwenye Div 4 ya 26... Yaan C moja ya math... Mwenye first class diploma... Na first class degree... Courze Accouting... Chuo Mzumbe... Kupata scholarship Master ya kusoma nje ya nchi kama Uingereza?...jamani hiki kitu kipo... Maana kuna dogo analisumbua saana kuhusu yapo mambo... Ahsanteni