Chinese Embassy in Dar es Salaam, Tanzania wanatoa schoolaships kwa vijana wanaotaka kwenda kusoma china. Kuna mtu yeyote anajua chochote kuhusu hawa jamaa. Ni wa kweli au ndio utapeli?
Umeingia site yenyewe ukaona ninayoyaulizia au umejibu tu kwa kutazama link!!? Inavyoonyesha sio site ya ubalozi na ingekuwa vizuri kama utajibu ukiwa unajua unajibu nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.