Mwalimu Ntuntu
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 314
- 294
Wana jukwaa la Elimu, kheri ya Mwaka Mpya!!
Mimi ni kijana mwenye matamanio ya kusoma mpaka kiwango cha Masters au mpaka PhD, naomba kusaidiwa mawazo ya namna ya kupata udhamini wa kuweza kutimiza matamanio yangu ya kielimu.....
Msaada wenu wana jukwaa!!!
Mimi ni kijana mwenye matamanio ya kusoma mpaka kiwango cha Masters au mpaka PhD, naomba kusaidiwa mawazo ya namna ya kupata udhamini wa kuweza kutimiza matamanio yangu ya kielimu.....
Msaada wenu wana jukwaa!!!