Scholarship to study in Egypt..

MNDEE

JF-Expert Member
Jul 10, 2009
491
68
Primary school pupil (10) wins scholarship to study in Egypt

By Michael Haonga (ippmedia)





"A 10-year-old pupil, Seif Khalfan Issa, has won a special scholarship including, 2m/- and air ticket to study in Egypt up to university level after he emerged winner of a Qoran reciting contest held in Dar es Salaam.."

Kwa mtazamo wangu Tanzania kama nchi maskini inahitaji scholarships kwenye areas ambazo zitasaidia kumkwamua mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla. Area ambazo I would think wanaotaka kutusaidia waangalie ni kama Elimu (sio ya kidini), afya, technologia, biashara, uchumi, na kadhalika.

Nachelea badala ya kuondokana na ujinga na umaskini tutaambulia maextremist.
 
Primary school pupil (10) wins scholarship to study in Egypt

By Michael Haonga (ippmedia)





"A 10-year-old pupil, Seif Khalfan Issa, has won a special scholarship including, 2m/- and air ticket to study in Egypt up to university level after he emerged winner of a Qoran reciting contest held in Dar es Salaam.."

Kwa mtazamo wangu Tanzania kama nchi maskini inahitaji scholarships kwenye areas ambazo zitasaidia kumkwamua mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla. Area ambazo I would think wanaotaka kutusaidia waangalie ni kama Elimu (sio ya kidini), afya, technologia, biashara, uchumi, na kadhalika.

Nachelea badala ya kuondokana na ujinga na umaskini tutaambulia maextremist.
Mie nachelea uextrimism wa JF unaletwa na wanaJF wenyewe. Hivi karibuni nilifika Tanzania nikiwa nadhani nitakumbana na hisia za udini kama zinavyoonekana hapa JF. Lakini ni tofauti kabisa na matarajio yangu maana bado wananchi wameshikamana na hata hawajui kama kuna mvutano, tuepuke kuwa negatives.
Viongozi wa dini wamekuwa wakishukuriwa kwa kujenga ethics std. Rejea ishu ya ya miongozo yao kuelekea uchaguzi. Rejea dini mbalimbali zinavyosomesha watu wao kwa lengo tu la kujenga maadili kwenye jamii. Hawezekani woote tujikite kwenye masomo bado tunahitaji watu wa kusimamia maadili. Ila ungeweka point yako kwa angalizo si tishio kama isomekavyo
 
Kwani we 'Mndee' umesoma wapi kuwa anaendasoma hiyo Qoran tu kuanzia primary mpaka chuo. Mi nafikir kutakua na masomo mengine. Labda useme atakua mbumbumbu ktk masomo km jiografia, kiswahili, historia, siasa n.k ambayo yanaihusu Tanzania moja kwa moja. Otherwise kama akipata digrii say ya uhandisi au udaktar, u name it, hapo atakua hajasaidia nchi akirudi ku-work huku!
 
"A 10-year-old pupil, Seif Khalfan Issa, has won a special scholarship including, 2m/- and air ticket to study in Egypt up to university level after he emerged winner of a Qoran reciting contest held in Dar es Salaam.."

Kwa mtazamo wangu Tanzania kama nchi maskini inahitaji scholarships kwenye areas ambazo zitasaidia kumkwamua mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla. Area ambazo I would think wanaotaka kutusaidia waangalie ni kama Elimu (sio ya kidini), afya, technologia, biashara, uchumi, na kadhalika.

Nachelea badala ya kuondokana na ujinga na umaskini tutaambulia maextremist.
Habari jinsi ilivyokaa haijasema anaenda kusoma elimu ya aina gani. Inasema tu anakwenda kusomeshwa mpaka afike chuo kikuu. Kumbe si vema kuanza kulaumu kabla hata hatujajua aina ya elimu anayokwenda kusoma. Bila shaka hata kama atasoma elimu ya dini atapewa pia fursa ya kusoma elimu ya kidunia ambayo pia ni ya lazima sana kwa maisha yake.
 
Habari jinsi ilivyokaa haijasema anaenda kusoma elimu ya aina gani. Inasema tu anakwenda kusomeshwa mpaka afike chuo kikuu. Kumbe si vema kuanza kulaumu kabla hata hatujajua aina ya elimu anayokwenda kusoma. Bila shaka hata kama atasoma elimu ya dini atapewa pia fursa ya kusoma elimu ya kidunia ambayo pia ni ya lazima sana kwa maisha yake.


Nimesimamia kwenye kigezo kilichotumika kumpata mshindi wa hii scholarship. Kwa vile masomo ya kidunia hayakuwa moja ya vigezo vya vya kumpima au kumpata mshindi ni wazi kuwa mshindi anakwenda kuzamia kwenye dini.
 
Back
Top Bottom