Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,106
- 28,053
Huko Iran wanapukutika taarifa ya jana kila baada ya dakika 10 mtu 1 anafariki inamaana kila baada ya saa 24 watu 144 wamefarikiHuyu msomi ni mpumbavu kabisa , huu ugonjwa umegusa kila eneo la dunia , sasa kama ni kwa ajili ya wachina kwanini unawaua adi mashia wenzake ?
Sent using Jamii Forums mobile app