Za mda huu wadau wajf
Ningependa kuwataarifu wale wasiojua kuhusu utapeli wa pyramid scheme huu mchezo unakuwa siku mpaka siku mpaka sasa wabongo ndo wanaanzisha wakishirikiana na wanigeria, wakenya hata wasouth africa hali ni ngumu
Point ni kwamba juzi kati wamekuja na fastincominvestment be alert on this ponzi scheme ,don't even try to get involved in a get rich-quick scheme
Na washiriki wakubwa ni wabongo maana kuna huduma ya kutoa na kuweka pesa kwa tigopesa na bitcoin baada kutapeli watu kwa BC INVESTMENT wamekuja upya
NB; mi ni muhanga wa inclusive forex & cryptos nina hasira nao baadhi ya wale upline washaanza kupromote kingine
Ningependa kuwataarifu wale wasiojua kuhusu utapeli wa pyramid scheme huu mchezo unakuwa siku mpaka siku mpaka sasa wabongo ndo wanaanzisha wakishirikiana na wanigeria, wakenya hata wasouth africa hali ni ngumu
Point ni kwamba juzi kati wamekuja na fastincominvestment be alert on this ponzi scheme ,don't even try to get involved in a get rich-quick scheme
Na washiriki wakubwa ni wabongo maana kuna huduma ya kutoa na kuweka pesa kwa tigopesa na bitcoin baada kutapeli watu kwa BC INVESTMENT wamekuja upya
NB; mi ni muhanga wa inclusive forex & cryptos nina hasira nao baadhi ya wale upline washaanza kupromote kingine
