Scam alert

Scam alert

Muamu3

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,706
Reaction score
4,544
Za mda huu wadau wajf

Ningependa kuwataarifu wale wasiojua kuhusu utapeli wa pyramid scheme huu mchezo unakuwa siku mpaka siku mpaka sasa wabongo ndo wanaanzisha wakishirikiana na wanigeria, wakenya hata wasouth africa hali ni ngumu

Point ni kwamba juzi kati wamekuja na fastincominvestment be alert on this ponzi scheme ,don't even try to get involved in a get rich-quick scheme

Na washiriki wakubwa ni wabongo maana kuna huduma ya kutoa na kuweka pesa kwa tigopesa na bitcoin baada kutapeli watu kwa BC INVESTMENT wamekuja upya

NB; mi ni muhanga wa inclusive forex & cryptos nina hasira nao baadhi ya wale upline washaanza kupromote kingine

💥FASTINCOME INVESTMENT 💥💥 20210111_101154.jpg
 
Hawa jamaa nina hasira nao sana wapewe kesi ya uhujumu uchumi nawajua wanajifanya uplin wa kimataifa
Wa kupewa kesi ya uhujumu uchumi ni wewe ulitamani pesa ya harakaharaka.
Hao walifanya kazi ya kukushawishi nawe ukiingia mzimamzima.
Jilaumu wewe mpenda mkato
 
Wa kupewa kesi ya uhujumu uchumi ni wewe ulitamani pesa ya harakaharaka.
Hao walifanya kazi ya kukushawishi nawe ukiingia mzimamzima.
Jilaumu wewe mpenda mkato
Ni kama mr kuku hao na deci wanafanya upatu mi waliniiga back kweny miaka ya 2019 ila naona sasa zinakuwa kwa kasi
 
Najiuliza matangazo yao uku insta why yanapromotiwa jamani izo bitcoin ni nyingi siku izi
Za mda huu wadau wajf

Ningependa kuwataarifu wale wasiojua kuhusu utapeli wa pyramid scheme huu mchezo unakuwa siku mpaka siku mpaka sasa wabongo ndo wanaanzisha wakishirikiana na wanigeria, wakenya hata wasouth africa hali ni ngumu

Point ni kwamba juzi kati wamekuja na fastincominvestment be alert on this ponzi scheme ,don't even try to get involved in a get rich-quick scheme

Na washiriki wakubwa ni wabongo maana kuna huduma ya kutoa na kuweka pesa kwa tigopesa na bitcoin baada kutapeli watu kwa BC INVESTMENT wamekuja upya

NB; mi ni muhanga wa inclusive forex & cryptos nina hasira nao baadhi ya wale upline washaanza kupromote kingine

View attachment 1674365
 
Za mda huu wadau wajf

Ningependa kuwataarifu wale wasiojua kuhusu utapeli wa pyramid scheme huu mchezo unakuwa siku mpaka siku mpaka sasa wabongo ndo wanaanzisha wakishirikiana na wanigeria, wakenya hata wasouth africa hali ni ngumu

Point ni kwamba juzi kati wamekuja na fastincominvestment be alert on this ponzi scheme ,don't even try to get involved in a get rich-quick scheme

Na washiriki wakubwa ni wabongo maana kuna huduma ya kutoa na kuweka pesa kwa tigopesa na bitcoin baada kutapeli watu kwa BC INVESTMENT wamekuja upya

NB; mi ni muhanga wa inclusive forex & cryptos nina hasira nao baadhi ya wale upline washaanza kupromote kingine

View attachment 1674365

FOREX ilikuaje mkuu ???
 
Najiuliza matangazo yao uku insta why yanapromotiwa jamani izo bitcoin ni nyingi siku izi
Bitcoin ni uwekezaji mzuri sana ni kati ya fursa ambazo roho inaniuma kwanini zilinipita nikiwa nashangaa
 
Bitcoin ni uwekezaji mzuri sana ni kati ya fursa ambazo roho inaniuma kwanini zilinipita nikiwa nashangaa
Bora ungewkeza huko kuliko hayo mapyramid mi bitcoin kipind ipo kama million 23 nilidhani itadrop sana kwa kweli ila duh leo inaribia million 100
 
Bora ungewkeza huko kuliko hayo mapyramid mi bitcoin kipind ipo kama million 23 nilidhani itadrop sana kwa kweli ila duh leo inaribia million 100
Nunua satoshi kadhaa mkuu hii kitu ipo siku itangonga hata 200 milion maana juzi tu ilikuwa 53 milion jana nashangaa kuona imepanda tena nakumbuka wakati inaanza bitcoin moja haikuwa na thamani hata ya 1000 dah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom