Scale Up Your Business-Kuza Biashara yako

Scale Up Your Business-Kuza Biashara yako

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,832
Reaction score
6,472
Habari za Wakati Huu;
Je wewe ni mfanya Biashara au unatamani kuwa mfanya biashara?Je kama mfanya biashara unapenda kufahamu mbinu tofauti za kukuza Biashara yako na kuongeza wigo wa biashara yako?Je unatamani kufahamu mbinu mbalimbali za kutatua changamoto za Biashara.Basi tunakualika uwasiliane nasi ili Upate Fursa ya Kujifunza na Kuongeza wigo wa Biashara yako katika maeneo yafuatayo:

  1. Usajili wa Biashara na Usimamizi wa Masuala ya Kiserikali na Kodi
  2. Masoko,Mauzo na Uendeshaji
  3. Teknolojia,Tehama na AI
  4. Huduma kwa Wateja
  5. Usimamizi wa Biashara
  6. Uwekezaji
  7. Biashara ya Kimataifa
Kama Jibu ni Ndiyo Basi tunakuletea Fursa ya Kujifunza na Kufahamu masuala mbalimbali yatakayokufaa kama unahitaji kuanzisha Biashara Mpya au kama Unahitaji Kukuza Biashara yako.

Omba Miadi /Appointment ya Kuzungumza na Mtaalamu wetu katika masuala hayo ili uweze Kujifunza zaidi na kutumia Fursa zilizopo


au wasiliana nasi kwa Email:masokotz@yahoo.com
 
Back
Top Bottom