SBT: Japan

SBT: Japan

ukweli magari ya sbjt mengi yamekwenda km nyingi, mpaka sasa sijaona wa kuwa-beat tradecarview kwa bei nafuu na uwingi wa magari!!

hao beforwad na sijui akina nani unakuta hata models nyingine za magari hakuna, lakini sijawahi kosa models yoyote ya gari tradecarview!!


uko sawa mkuu kuhusu trade carview! Hawa jamaa wana models nyingi na zinakuwa kwenye condition nzuri. Pia autorec nao wako vizuri sana kwenye magari yao.
 
uko sawa mkuu kuhusu trade carview! Hawa jamaa wana models nyingi na zinakuwa kwenye condition nzuri. Pia autorec nao wako vizuri sana kwenye magari yao.
autorec bei zao zipo juu ukilinganisha na tradecarview, pia na wenyewe unakuta models nyingine hawana.
 
uko sawa mkuu kuhusu trade carview! Hawa jamaa wana models nyingi na zinakuwa kwenye condition nzuri. Pia autorec nao wako vizuri sana kwenye magari yao.
Tradecarview ni wakala lazima models almost zote ziwepo.
 
sbt kuna jamaa mmoja anaitwa mutahir...anapiga simu hata mara 1000 kwa siku..nawakubali be forward ni professional sana..


:target:mkuu nimecheka mpaka basi, pole kwa kupigiwa simu mara elfu moja kwa siku moja.

mkuu siku moja ina dakika 60x24= 1440 dakika , kama ni muda wa mchana tu yani masaa 12, 12x60= 720 dakika.

ina maana wajamaa wanakupigia simu kila baada ya dk moja, pole sana mkuu tena pole sana.:target:
 
Hizi co. Zote tunazozungumzia ni kwa ajili ya kuwadanganya Waafrica,Hawa car dealer hawana ofisi za kitapeli nchi yoyote iliyoendelea ila kwa hapa East Africa wametega wajinga,wameweka kwenye site zao wana ofisi na magari hapa bongo lkn zote kamba tu,hakuna kampuni hata moja yenye stock ya hata gari tano hapa bongo katika hizo,wameweka viofisi mshenzi vya kuwasomeshea watu,wamewategeshea na wakenya na vi english vyao basi kwa ushamba wa wabongo tunawashobokeaaa,dealer wa ukweli wametulia Japan na wanasukuma michuma kwenye net na kwa bei za ukweli,AMKENI!! mnauzia mikweche kwa bei chee kila leo mko kwa mafundi alafu mnachekelea,Rahisi ni aghali!!!
 
Hizi co. Zote tunazozungumzia ni kwa ajili ya kuwadanganya Waafrica,Hawa car dealer hawana ofisi za kitapeli nchi yoyote iliyoendelea ila kwa hapa East Africa wametega wajinga,wameweka kwenye site zao wana ofisi na magari hapa bongo lkn zote kamba tu,hakuna kampuni hata moja yenye stock ya hata gari tano hapa bongo katika hizo,wameweka viofisi mshenzi vya kuwasomeshea watu,wamewategeshea na wakenya na vi english vyao basi kwa ushamba wa wabongo tunawashobokeaaa,dealer wa ukweli wametulia Japan na wanasukuma michuma kwenye net na kwa bei za ukweli,AMKENI!! mnauzia mikweche kwa bei chee kila leo mko kwa mafundi alafu mnachekelea,Rahisi ni aghali!!!
mkuu soma post na comments za watu uelewe, uuliza sbtjapan ni kampuni ya wapi pia uelewe. ona umekurupuka na ulichoandika ni kichekesho kitupu.
 
:target:mkuu nimecheka mpaka basi, pole kwa kupigiwa simu mara elfu moja kwa siku moja.

mkuu siku moja ina dakika 60x24= 1440 dakika , kama ni muda wa mchana tu yani masaa 12, 12x60= 720 dakika.

ina maana wajamaa wanakupigia simu kila baada ya dk moja, pole sana mkuu tena pole sana.:target:

Ha ha ha...

Ufafanuzi wako ni makini kama nini!
 
Kama unahitaji gari tuwasiliane ipo company na deal nayo kwa miaka mitano sasa they are very good.they offer 50% on order placement and rest against bill of lading

Nisaidie Jina la hiyo kampuni...........sikukuu njema.
 
hivi hawa sbt na
broom_logo.jpg
ni kampuni mbili tofauti au ni moja? kwani magari ambayo yapo kwenye stock ya SBT yapo pia kwenye stock ya Broom
 
Watu pekee wenye ofisi Tz ni Befoward wengine wanatumia mawakala!
 
SBT wanaweza kuwa wazuri zaidi ya Befoward maana kununua gari befoward ya rangi mbili usijeshangaa. lakini kampuni nzuri na yenye magari mazuri na bei powa ni Autoenhance nimenunua magari manne kwao hawana shida na wanatumia web mail box ambayo hakuna hicker anaweza kuingilia mawasiliano.
 
Beforward ni very professional.

Tishaaaaaa beforward....vitu laini sana toka,siku ya kutuma tt mpaka unakaa kwenye ndinga...
 

Attachments

  • 1396464209876.jpg
    1396464209876.jpg
    67.8 KB · Views: 130
  • 1396464230131.jpg
    1396464230131.jpg
    76.4 KB · Views: 125
Kama unahitaji gari tuwasiliane ipo company na deal nayo kwa miaka mitano sasa they are very good.they offer 50% on order placement and rest against bill of lading

hata sbt wanayo hiyo.
 
SBT wanaweza kuwa wazuri zaidi ya Befoward maana kununua gari befoward ya rangi mbili usijeshangaa. lakini kampuni nzuri na yenye magari mazuri na bei powa ni Autoenhance nimenunua magari manne kwao hawana shida na wanatumia web mail box ambayo hakuna hacker anaweza kuingilia mawasiliano.

....lol!
 
Hizi co. Zote tunazozungumzia ni kwa ajili ya kuwadanganya Waafrica,Hawa car dealer hawana ofisi za kitapeli nchi yoyote iliyoendelea ila kwa hapa East Africa wametega wajinga,wameweka kwenye site zao wana ofisi na magari hapa bongo lkn zote kamba tu,hakuna kampuni hata moja yenye stock ya hata gari tano hapa bongo katika hizo,wameweka viofisi mshenzi vya kuwasomeshea watu,wamewategeshea na wakenya na vi english vyao basi kwa ushamba wa wabongo tunawashobokeaaa,dealer wa ukweli wametulia Japan na wanasukuma michuma kwenye net na kwa bei za ukweli,AMKENI!! mnauzia mikweche kwa bei chee kila leo mko kwa mafundi alafu mnachekelea,Rahisi ni aghali!!!

Unaelewa unachozungumza lakini au basi tu na wewe uandike comment siku iende?!! beforward kampuni ya japan na wana yard japan wananunua kwenye minada wanaweka magari kwenye yard zao kisha wanauza online, Tanzania wana representative wao na ofisi inayotumia jina lao kwa makubaliano ya kibiashara. Unaweza kuingia mwenyewe online ukachagua gari iko japan ukaenda kulipa ofisini kwao Tanzania na ukapata gari lako kama kawaida kwa bei halali. Kuweka stock ya magari hapa Tanzania wakati wana yard kaddhaa japan ni kuongeza gharama zisizo na msingi. haya hebu tuambie wewe unashobokea kampuni gani, maana hata kama unanunua brand new ukienda Toyota Japan watakuelekeza kwa dealer tu.
 
Back
Top Bottom