Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,480
- 40,488
Kuna ule msemo wa mtu wa watuHayo yote ya nn...unataka kuishi kwa kuwaridhisha watu...??? Utapata tabu sana
Unashauri nini kifanyike mkuuNdo mwanzo wa kulogwa unatafuta maadui kwa lazima
Inawezekana jamii yote ikuzungumzie wewe kwa mazuri tu?Ukiishi kwa kuwaridhisha watu au kufanya kitu kulingana na watu wakisemacho bs utapata tabu sanaaaa. Ishi upendavyo Ila tu usimnyanyase mtu wala kumuonea mtu.
HapanaInawezekana jamii yote ikuzungumzie wewe kwa mazuri tu?
Huo utokeaga mtu akishakufa. Ukiwa hawi hisifiwiKuna ule msemo wa mtu wa watu
Piga maisha yako acha shobo na raia hawana jema hata ukiwasaidiaUnashauri nini kifanyike mkuu
Nakuomba hela ni uonevu pia(jokes)Ukiishi kwa kuwaridhisha watu au kufanya kitu kulingana na watu wakisemacho bs utapata tabu sanaaaa. Ishi upendavyo Ila tu usimnyanyase mtu wala kumuonea mtu.
Nakuomba hela ni uonevu pia(jokes)
Nyie watu mtatuua kwa majukumu sasa, vipi siku nikikwama na wewe utaweza kunipiga tafu? Or it's one sided love and effortkuomba ela kwa wanaume km nyinyi ni sahihi bhn
Nakupiga tafu vizuri tu. Tatizo nyie wanaume bhn mambo yenu mnayajua nyie wenyewe tuNyie watu mtatuua kwa majukumu sasa, vipi siku nikikwama na wewe utaweza kunipiga tafu? Or it's one sided love and effort
Hebu njoo inbox unisimulie yaliyokusibu maana una hasira siyo za Tanzania kabisa.Nakupiga tafu vizuri tu. Tatizo nyie wanaume bhn mambo yenu mnayajua nyie wenyewe tu
Hebu njoo inbox unisimulie yaliyokusibu maana una hasira siyo za Tanzania kabisa.
hahahah sasa nakuelekezaje jaman?ndo wapi uko?. Uje unielekeze ww, maana mi sipajui uko pm