Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Nimekuwa nikifuatilia utabiri wa hali ya hewa kwa muda wa miaka 10 sasa lakini nimeamua kuacha kuuamini baada ya utabiri wake mwingi kutokuwa sahihi. Watakuambia Tabora kutakuwa na mvua na vipindi vya jua! Mara kutakuwa na upepo mkali baharini! Na mvua za mafuriko walizotutangazia hadi sasa tusione,badala yake jua kali. Labda waseme radar ya Mramba wanayotumia haifai: vinginevyo nimeacha rasmi kuwaamini: nawaona watabiri tu kama shehe Yahaya alivyokuwa. Waje waseme kwanini tuwaamini.