Say something about your mother in law

Say something about your mother in law

Natalia

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2011
Posts
4,324
Reaction score
1,898
Do you have a mother in law ?say something about her
 
Wanawake sijui mtakuja kupendana lini???

Ukioa aina hii ya mwanamke kama huyu aliyeanzisha mada, hakuna ndugu yako atakutembelea nyumbani kwako. Yeye siku zote ni negative tu kwenye ndoa dhidi ya ndugu
 
Ukioa aina hii ya mwanamke kama huyu aliyeanzisha mada, hakuna ndugu yako atakutembelea nyumbani kwako. Yeye siku zote ni negative tu kwenye ndoa dhidi ya ndugu

Badala ya kuelekezana wao kwa wao, kutwa wanaishia kusimangana na kuzodoana.
Mtaani wanasutana weee na kuchambana kwenye masaluni.
Naona sasa wamehamishia roho mbaya zao kwenye mitandao eti wapo kidijitali zaidi, kuna sijui ndio wanaita viblogu kutwa kutishiana.
Hivi hamjui ipo siku nanyi mtaitwa MAMA MKWE???
The change begins with you.
 
Ukioa aina hii ya mwanamke kama huyu aliyeanzisha mada, hakuna ndugu yako atakutembelea nyumbani kwako. Yeye siku zote ni negative tu kwenye ndoa dhidi ya ndugu

Monster mother in law. Akifanya mchezo atanyukwa
 
Ishi maisha yanayomfurahisha Mungu kwa namna zote, suala la nani (mama mkwe, wifi n.k) hafurahishwi na hayo maisha sio suala lako kujishughulisha naye. Watu werevu siku zote ni watu wa kuupuuza upumbavu kutoka kwa yeyote bila kujali uhusiano wao.
 
Mine was so nice and kind to me, ila ametangulia mbele ya haki. RIP my mother in law.
 
Kwa kweli my mother in law is very kind,Nice and God fearing
Hata mr akichemsha my mum in law anakua upande wangu
Tena mimi ndio najitahidi ku catch up with her loving nature
 
Yani mtu amekubebea bwana wako miezi tisa tumboni (kutapika na mengineyo chungu mzima), ameingia labour kukuzalia mume ambae kila siku anakuliza kwa utamu, mume ambaye anakupa vitu ambavyo si ndugu, baba wala mama aliweza kukupatia ila bado tu unamjadili hapa....tena wengine mnamuita bullshit!! kweli binadam hawabebeki
 
ni mwanamke mpole... Mtaratibu..... Mstaarabu ....mwenye upendo
 
Yani mtu amekubebea bwana wako miezi tisa tumboni (kutapika na mengineyo chungu mzima), ameingia labour kukuzalia mume ambae kila siku anakuliza kwa utamu, mume ambaye anakupa vitu ambavyo si ndugu, baba wala mama aliweza kukupatia ila bado tu unamjadili hapa....tena wengine mnamuita bullshit!! kweli binadam hawabebeki

upo sahihi kabisa mana kuna wanawake wengine vichwa maji kabsa,yani nimdharau mamangu na kumtukana kwa ajili yake? anisahau tu sifanyi huo ujinga
 
hili suala la mama mkwe,ni gum kidog kwa sababu mama wakwe wengine wanatofautian mawazo.wengine walishazoea kulelewa na watoto wao then mtto anapooa na kuanza kupunguza majukum kwa mzazi ndipo mama mkwe anaona kma mkamwana anabana kumbe zile pesa sasa zinaenda kwa watoto.ndipo hpo huanza kuwachukia wakamwana wao.nilishawah kushuhudia mama mmoj hatak na amefany kila njia ili mtto wake wa kiume aoe ili aendelee kumtunza.
 
... ni jasiri na mpiganaji, mstaarabu , muelewa, haoni haya kukosoa, na ana upendo sijapata kuona!!!
namtakia maisha mema sana huyu mama jamani!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom