mh hapa mi napita tu, ila naunga mkono ya mafuta ya taa, nakumbuka wakati nipo o level, mara kadhaa tulikuwa tunawekewa mafuta ya taa kwenye maharage.............
and????????????????
Wana Jukwaa,
Kadiri siku zinavyokwenda nakuwa dhaifu.
Nimejitahidi sana kuepuka mahusiano mpaka pale nitakapooa.
Kipindi kifupi kilichopita nimekuwa na wakati mgumu sana pale ninaposikia sauti ya mwanamke iwe kwenye simu au ana kwa ana. Kila nikisikia sauti 'jamaa yangu' amekuwa 'akiamka'. Nimefikiria kuvaa kanzu kuficha aibu lakini mimi ni mkristo na nikivaa kanzu watakuwa na mashaka nami ikiwa bado ni mkristo bado au nimesilimu.
Shida pia huwa kubwa pale mwanamke yeyote anapogusa mwili wangu.
Nifanyeje jamani kuzuia hili maana napatamani sana mbinguni na pia napenda heshima yangu iendelee kudumi katika jamii ninamoishi.
MSAADA WAKUU.
Wana Jukwaa,
Kadiri siku zinavyokwenda nakuwa dhaifu.
Nimejitahidi sana kuepuka mahusiano mpaka pale nitakapooa.
Kipindi kifupi kilichopita nimekuwa na wakati mgumu sana pale ninaposikia sauti ya mwanamke iwe kwenye simu au ana kwa ana. Kila nikisikia sauti 'jamaa yangu' amekuwa 'akiamka'. Nimefikiria kuvaa kanzu kuficha aibu lakini mimi ni mkristo na nikivaa kanzu watakuwa na mashaka nami ikiwa bado ni mkristo bado au nimesilimu.
Shida pia huwa kubwa pale mwanamke yeyote anapogusa mwili wangu.
Nifanyeje jamani kuzuia hili maana napatamani sana mbinguni na pia napenda heshima yangu iendelee kudumi katika jamii ninamoishi.
MSAADA WAKUU.
haswa...nimekula sana makande na mandondo yenye hiyo makitu...nilikuwa kama Maksai zobazoba tuhapa umeongea mkuu hii itasaidia!! hata wanafunzi wa boarding hufanyiwa hv ili kupunguza mihemko kama hyo!!!
Ni balehe tu nadhani kadri unavyokua itaondoka..
Ila pia wakati unatafuta tiba..jiepushe kubeba watoto wadogo hususani wakike ..
Naona ni hatari kwa afya yako aiseee...
Hatushindi dhambi kwa
kujitahidi Hapana, Kama Umeokoka dhambi sio asili yako, Una amini
Biblia? Something is wrong with your faith.
haswa...nimekula sana makande na mandondo yenye hiyo makitu...nilikuwa kama Maksai zobazoba tu
ha!ha!ha!maksai tena!mbavu zangu
haswa...nimekula sana makande na mandondo yenye hiyo makitu...nilikuwa kama Maksai zobazoba tu
sisi boarding tulikuwa tunafanyiwa hivyo...basi watoto wa Enaboishu,Ashira,Kibosho na Weruweru wakija debate shule wala hatukuwa na mpango nao
Unajua siwez kusema kwamba ilisaidia moja kwa moja, coz shule niliyosoma ilikuwa kama jeshini vile, hata sikuwa na time ya kuzithink hizo mambo........
ila nimesapot hiyo hoja coz kila tulipouliza sababu ya kuwekewa mafuta ya taa kwenye mlo, walitueleza inapunguza hizo naniliu......lol
mh hapa mi napita tu, ila naunga mkono ya mafuta ya taa, nakumbuka wakati nipo o Level, mara kadhaa tulikuwa tunawekewa mafuta ya taa kwenye maharage.............
uwe unanyunyuzia kidogo Mafuta ya Taa katika misosi yako...
hapa umeongea mkuu hii itasaidia!! hata wanafunzi wa boarding hufanyiwa hv ili kupunguza mihemko kama hyo!!!
what is this?? naomba maelezo zaidi, sijawahi kusikia hii kitu. Is it safe?
interesting!! thx for info..... is it done kwenye boys schools only au hata mixed gender schools?Shake Well Before Use...then mimina kwenye makande au mandondo kiasi kidogo sana...hamu yote ya kugaragara na mama/baba watoto itakutoka kwa ghafla