Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,478
- 11,033
Habari hii imeandika katika gazeti la mwananchi siku ya wafanyakazi duniani yaani Mei mosi,Sikuweza kuisoma habari zaidi ya kusoma headline tu.
Wanafunzi takribani 300 wamefutiwa matokeo ambao hawa ni wahitimu tayali,hapa tunaweza zalisha maswali mengi sana
Inakuwaje wanafunzi wafutiwe matokeo wakiwa tayali washa hitimu? Ina maana muda wote wanasoma mpaka kumaliza hawakuwa na sifa ya kuwa wanafunzi wa chuo kikuu?
Na kwanini chuo kiweze kudahiri wanafunzi wasio na sifa za kuwa wanafunzi wa chuo wakati huo huo TCU ipo?
Vipi kuhusu ada walizo lipa hawa wanafunzi zitarudishwa?
Katika wanafunzi hawa 300 unaweza kuta kuna wanufaika wa mkopo wa elimu ya juu je,watalipa deni?
Wanafunzi takribani 300 wamefutiwa matokeo ambao hawa ni wahitimu tayali,hapa tunaweza zalisha maswali mengi sana
Inakuwaje wanafunzi wafutiwe matokeo wakiwa tayali washa hitimu? Ina maana muda wote wanasoma mpaka kumaliza hawakuwa na sifa ya kuwa wanafunzi wa chuo kikuu?
Na kwanini chuo kiweze kudahiri wanafunzi wasio na sifa za kuwa wanafunzi wa chuo wakati huo huo TCU ipo?
Vipi kuhusu ada walizo lipa hawa wanafunzi zitarudishwa?
Katika wanafunzi hawa 300 unaweza kuta kuna wanufaika wa mkopo wa elimu ya juu je,watalipa deni?