Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
TAARIFA KWA UMMA:Kutoonekana kwa Mfanyakazi wa Chuo Padre Camilus Nikata.Tunaendelea kumuomba Mwenyezi Mungu amkinge na maovu yote, amwimarishia ulinzi na kumwongezea usalama Padre Nikata
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT) kimepokea kwa mshutko mkubwa taarifa iliyotolewa na Baba Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea, Mhashamu Askofu Damian Dallu kuhusu kutoonekana kwa Padre Camillus Nikata ambaye ni padre wa jimbo lake na taarifa hii kuenea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii tangu siku ya Jumatano tarehe 8 Oktoba 2025.
Pia Soma:
Ofisi ya Baba Askofu Mkuu ilichukua jukumu la kuilatarifu jeshi la polisi kwa ajili ya ufuatiliaji uchunguzi baada ya juhudi zote za kumtafuta kufanyika bila ya mafanikio.
Kufuatilia hali hii ya kutoonekana kwa Mhadhiri wetu, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT) kupitia ofisi ya Chaplaincy limeandaa misa maalum kwa ajili ya kumsabamia Mwenyezi Mungu kumkinga na maovu yote, kumwimarisha ulinzi na kumwongozea usalama Padre Nikata.
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT) kimepokea kwa mshutko mkubwa taarifa iliyotolewa na Baba Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea, Mhashamu Askofu Damian Dallu kuhusu kutoonekana kwa Padre Camillus Nikata ambaye ni padre wa jimbo lake na taarifa hii kuenea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii tangu siku ya Jumatano tarehe 8 Oktoba 2025.
Pia Soma:
- Kanisa Katoliki latoa taarifa ya "kutoonekana" kwa Padre Camillus Nikata wa Jimbo Kuu la Songea
- Jeshi la polisi Ruvuma: Tunaendelea na upelelezi wa tukio la kupotea kwa Padre Camillus Nikata Mhadhili wa Chuo Kikuu SAUT
Ofisi ya Baba Askofu Mkuu ilichukua jukumu la kuilatarifu jeshi la polisi kwa ajili ya ufuatiliaji uchunguzi baada ya juhudi zote za kumtafuta kufanyika bila ya mafanikio.
Kufuatilia hali hii ya kutoonekana kwa Mhadhiri wetu, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT) kupitia ofisi ya Chaplaincy limeandaa misa maalum kwa ajili ya kumsabamia Mwenyezi Mungu kumkinga na maovu yote, kumwimarisha ulinzi na kumwongozea usalama Padre Nikata.