Official Juma
Member
- Aug 1, 2019
- 10
- 0
Jaman naomba taarfa fupi kuhusu chuo cha SAUT campus ya ARUSHA, (mazingira, na taaluma kwa ujumla)
Kwa taaluma ni kizuri ,pia kipo town ,suala la hostel magumash wengi wanapanga mtaani ,pia chuo kina eneo dogo , ukiwana tatizo lolote kulisolve ni simple tu maana wahusika wanapatikana kirahisi, ila cha mwisho ratiba za pale zinabana sana vipindi adi jumamosiJaman naomba taarfa fupi kuhusu chuo cha SAUT campus ya ARUSHA, (mazingira, na taaluma kwa ujumla)
Karibu SAUT Arusha utajutia mkuuJaman naomba taarfa fupi kuhusu chuo cha SAUT campus ya ARUSHA, (mazingira, na taaluma kwa ujumla)
Wew ni mwanafunz wa saut arusha auKaribu SAUT Arusha utajutia mkuu
Nilisomaga apo BaedWew ni mwanafunz wa saut arusha au