Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Saumu Rashid amepitishwa na mkutano mkuu kuwa mgombea wa urais baada ya kupigiwa kura za ndiyo na wajumbe 376 kati ya 390 katika mkutano wa chama hicho
Saumu ambaye ni Katibu Mkuu wa UDP, ametangazwa leo Jumatatu Agosti 11,2025 na mkurugenzi wa uchaguzi wa chama hicho, Hussein Lutambi, katika mkutano wao mkuu uliofanyika katika ukumbi wa Lulu, Sinza jijini Dar es Salaam.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Pia mgombea urais huyo amemchagua Juma Khamis Faki kuwa mgombea mwenza.
Kwa upande wa Zanzibar, Naima Salum Mohamad, ameteuliwa kugombea nafasi ya urais.
Naima ambaye katika uchaguzi huo alipigiwa kura za wazi, wajumbe wote walimpitisha kwa kusema ndio.
Saumu ambaye ni Katibu Mkuu wa UDP, ametangazwa leo Jumatatu Agosti 11,2025 na mkurugenzi wa uchaguzi wa chama hicho, Hussein Lutambi, katika mkutano wao mkuu uliofanyika katika ukumbi wa Lulu, Sinza jijini Dar es Salaam.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Pia mgombea urais huyo amemchagua Juma Khamis Faki kuwa mgombea mwenza.
Kwa upande wa Zanzibar, Naima Salum Mohamad, ameteuliwa kugombea nafasi ya urais.
Naima ambaye katika uchaguzi huo alipigiwa kura za wazi, wajumbe wote walimpitisha kwa kusema ndio.