Saudi Women defy drive ban

Sikiliza nikwambie!.Hakuna sheria na agizo la kiislamu linalopitwa na wakati na wala hakuna iliyoanza mwaka 47 na 1970.Maagizo yanayoanzia kwa Allah s.w hayana mwanzo wala ukomo.
Nyinyi kwenye forums na magazeti munaong'ang'ania Saudia iachie uendeshaji wa gari huru kwa wanawake wala hamuelewi lengo kuu na hao walioanzisha ajenda hii.Wanawake na wanaume wa Saudia na kote kwengine wala hawana akili ya kupinga hekima ya Muumba wao.
Kwa kifupi nitoe fununu la kile ninachojua mimi mwenyewe.Katika Uislamu kuna kitu kinaitwa sitara ya mwanamke.Hii sitara ni mada pana sana wahadhiri wa kiislamu wanaweza wakatoa darsa mpaka ukasinzia bila kfikia mwisho.Katika sitara gari inaweza ikawa kitu kimojawapo kinachoondoa hiyo sitara.Inapoondoka kunapatikana kitu kinaitwa fitna na hii ikija nchi na dunia haikalilki.Waislamu kwa wakristo huonja chungu yake.
Wanaopinga uislamu hupendelea kuanza na kuleta fitna kwanza kabla kutumia makombora ya kutoka angani ili kurahisisha kazi.
Katika uislamu wanawake ni watu muhimu sana na msingi kila jambo.Hivyo ukiweza kuwavuruga wao kwanza utakuwa umewaweza wanaume wao wa kiislamu.
Ukiwa na muda kidogo jisomee tafsiri ya Qur'an surat Ahzaab:59 na Surat Nnuur aya za 30 na 31.Vile vile jisomee mada ya Hijabu.
Wasomi wa kiislamu wa Saudia ndio wanaoelewa hayo.Wafalme na ndugu zao wanaweza wakajaribu kuridhia matakwa ya maadui lakini bado watakuwa hawajaufaa ulimwengu kwani fitna ikija itatukumba sote waislamu kwa wakristo.Mfano wa fitna inavyoenea angalia mizozo ya Libya na Iraq.

mhhhhh hapo hapo kwenye red sasa. umuhimu wao huwa kwa kina nani hasa?

napita tu
 
Sikiliza nikwambie!.Hakuna sheria na agizo la kiislamu linalopitwa na wakati na wala hakuna iliyoanza mwaka 47 na 1970.Maagizo yanayoanzia kwa Allah s.w hayana mwanzo wala ukomo.
Nyinyi kwenye forums na magazeti munaong'ang'ania Saudia iachie uendeshaji wa gari huru kwa wanawake wala hamuelewi lengo kuu na hao walioanzisha ajenda hii.Wanawake na wanaume wa Saudia na kote kwengine wala hawana akili ya kupinga hekima ya Muumba wao.
Kwa kifupi nitoe fununu la kile ninachojua mimi mwenyewe.Katika Uislamu kuna kitu kinaitwa sitara ya mwanamke.Hii sitara ni mada pana sana wahadhiri wa kiislamu wanaweza wakatoa darsa mpaka ukasinzia bila kfikia mwisho.Katika sitara gari inaweza ikawa kitu kimojawapo kinachoondoa hiyo sitara.Inapoondoka kunapatikana kitu kinaitwa fitna na hii ikija nchi na dunia haikalilki.Waislamu kwa wakristo huonja chungu yake.
Wanaopinga uislamu hupendelea kuanza na kuleta fitna kwanza kabla kutumia makombora ya kutoka angani ili kurahisisha kazi.Katika uislamu wanawake ni watu muhimu sana na msingi kila jambo.Hivyo ukiweza kuwavuruga wao kwanza utakuwa umewaweza wanaume wao wa kiislamu.
Ukiwa na muda kidogo jisomee tafsiri ya Qur'an surat Ahzaab:59 na Surat Nnuur aya za 30 na 31.Vile vile jisomee mada ya Hijabu.
Wasomi wa kiislamu wa Saudia ndio wanaoelewa hayo.Wafalme na ndugu zao wanaweza wakajaribu kuridhia matakwa ya maadui lakini bado watakuwa hawajaufaa ulimwengu kwani fitna ikija itatukumba sote waislamu kwa wakristo.Mfano wa fitna inavyoenea angalia mizozo ya Libya na Iraq.
Nikiendelea na hilo angalizo ni kwamba haijakatazwa mwanamke kuendesha gari moja kwa moja kama nilivyosema awali hapo juu ,bali lazima kwa masharti ili kuondoa uwezekano wa kutokea fitna.
 
Nikiendelea na hilo angalizo ni kwamba haijakatazwa mwanamke kuendesha gari moja kwa moja kama nilivyosema awali hapo juu ,bali lazima kwa masharti ili kuondoa uwezekano wa kutokea fitna.

Masharti kama yepi na fitna zipi zinazoweza kutokea kuhusiana na Wanawake kuruhusiwa kuendesha magari!? Tafadhali fafanua.
 
mhhhhh hapo hapo kwenye red sasa. umuhimu wao huwa kwa kina nani hasa?

napita tu
Kisasangwe usipite tu huku umejaa hofu.Simama kidogo usome,uchangie na uulize ndipo utafaidi.
Hata mimi pia nina haraka saa hii lakini nitarudi nimjibu Bubu Ataka Kusema.
 
By Asma Alsharif
JEDDAH, Saudi Arabia | Mon Jun 20, 2011 5:53am EDT

JEDDAH, Saudi Arabia (Reuters) - Some Saudi women appeared to have answered a call over social media to challenge a ban on driving, posting accounts and pictures of themselves behind the wheel in the conservative Arab kingdom.

Groups such as "Women2Drive" and "Women's Right to Drive in KSA" had called for a day of defiance, drawing more than 15,000 supporters on various Facebook groups.
"I drove with my husband, and a policeman stopped me and gave me a ticket, which stated that I was driving without a license," Maha al-Gahtani, a resident of Riyadh, posted on Twitter along with a picture of a traffic ticket with her name.

"I was disappointed that I didn't see any other women drivers," she said. "I did it to get my rights."
Besides a ban on driving, women in Saudi Arabia must have written approval from a male guardian -- a father, husband, brother or son -- to leave the country, work or even undergo certain medical operations.
Saudi Arabia is ruled by an absolute monarchy which applies an austere version of Sunni Islam. Religious police patrol the streets to ensure public segregation between men and women.

Two women, Shaima Osama and Manal Alsharif, were recently arrested for defying the driving ban, inspired by challenges to authority across the Arab world.
"I drove around my neighbourhood with dad for 20 minutes," Dima Ikhwan posted on her Twitter page on Friday.
One woman in Riyadh posted a video on YouTube showing herself driving soon after midnight, face veiled as she drove to a local supermarket undetected by police.
Reuters could not verify the women's accounts and it was not possible to verify how many women had defied the ban.
Alsharif's arrest last month after she posted a video on YouTube of herself driving appeared to have deterred other women. Released after 10 days in detention, Alsharif distanced herself from the campaign, saying the issue of women driving was best left to the authorities to handle.
"When Alsharif's arrest happened many of the women were intimidated because they do not want to be arrested," said Mariam Alawi, a Jeddah resident with a driving license from the United States who chose not participate in the campaign.
"I think the campaign to defy the driving ban will hinder the process of legalising women driving in Saudi Arabia because it will just provoke the authorities," Alawi said.
Activist Wajiha al-Huweider argued, however, that the movement would gain steam as more women defy the ban.
"It is not a one-day thing or a demonstration, it is the first day of a movement that will continue until we see a new law to allow women to drive," Huweider said. "Maybe we will see more women in the coming days." (Reporting by Asma Alsharif; Editing by Reed Stevenson and Alistair Lyon)
 
US Secretary of State Hillary Clinton has praised "brave" Saudi women who are campaigning for the right to drive.
Mrs Clinton said they were "right" to press their demands in the ultra-conservative kingdom, in her first public comments on the issue.
Many Saudi women openly took to the roads last Friday in defiance of an official ban on female drivers.
Last month a woman was arrested after uploading a video of herself driving a car.
"What these women are doing is brave, and what they are seeking is right," Mrs Clinton told reporters when asked to comment on the campaign.
"I'm moved by it and I support them."
BBC News - Hillary Clinton praises 'brave' Saudi women drivers

Si umeona mwenyewe hapo waasisi wa hii kampeni sasa wameingia wenyewe.Pamoja na hivyo naona mambo bado si mazuri kwani mmoja wa wawakilishi wao Mahal al Gahtani amelalamika kwa kusema "I was disappointed that I didn't see any other women drivers,"
 
US Secretary of State Hillary Clinton has praised "brave" Saudi women who are campaigning for the right to drive.
Mrs Clinton said they were "right" to press their demands in the ultra-conservative kingdom, in her first public comments on the issue.
Many Saudi women openly took to the roads last Friday in defiance of an official ban on female drivers.
Last month a woman was arrested after uploading a video of herself driving a car.
"What these women are doing is brave, and what they are seeking is right," Mrs Clinton told reporters when asked to comment on the campaign.
"I'm moved by it and I support them."
BBC News - Hillary Clinton praises 'brave' Saudi women drivers

Si umeona mwenyewe hapo waasisi wa hii kampeni sasa wameingia wenyewe.Pamoja na hivyo naona mambo bado si mazuri kwani mmoja wa wawakilishi wao Mahal al Gahtani amelalamika kwa kusema "I was disappointed that I didn't see any other women drivers,"



Genuinely Ami naomba nikuulize swali if you don't mind..
Are saying sababu tu Clinton ni M-US na kazungumzia basi ni wazo baya??
 
Nikiendelea na hilo angalizo ni kwamba haijakatazwa mwanamke kuendesha gari moja kwa moja kama nilivyosema awali hapo juu ,bali lazima kwa masharti ili kuondoa uwezekano wa kutokea fitna.
fitna gani bana uongo mtupu. gari ni ktk kurahisisha shughulicza binadamu sasa kunacbaya hapo? wapeni wanawake haki zao bana sio kuwabana bana tuuuuuuuuuu
 
_53558560_012242115-1.jpg


But with more Saudi women defying the driving ban and the call by activists for Mrs Clinton to speak out, it was no longer possible to stay silent.
It's also possible Mrs Clinton gave the Saudis advance notice that her public statement was coming - the issue came up in a conversation on Friday with Saudi Foreign Minister Prince Saud al-Faisal.


The letter, from the Saudi Women for Driving coalition
, reads: "Secretary Clinton: quiet diplomacy is not what we need right now. What we need is for you, personally, to make a strong, simple and public statement supporting our right to drive."
.
Supporters say it relieves women of the obligation to drive and also prevents them from leaving home unescorted or travelling with an unrelated male.
 
_53558560_012242115-1.jpg


But with more Saudi women defying the driving ban and the call by activists for Mrs Clinton to speak out, it was no longer possible to stay silent.
It's also possible Mrs Clinton gave the Saudis advance notice that her public statement was coming - the issue came up in a conversation on Friday with Saudi Foreign Minister Prince Saud al-Faisal.


The letter, from the Saudi Women for Driving coalition
, reads: "Secretary Clinton: quiet diplomacy is not what we need right now. What we need is for you, personally, to make a strong, simple and public statement supporting our right to drive."
.
Supporters say it relieves women of the obligation to drive and also prevents them from leaving home unescorted or travelling with an unrelated male.
Hiyo barua kwa Hillary ni aibu tupu kwa hawa wanaotaka kuleta fitna Saudia.Kumbe haikuandikwa na wanawake wa Saudia bali na watetezi wao walioko Washington.Halafu wamekosea kabisa lafdhi za uandishi wa malalamiko kutoka kwa muislamu.Hata hao akina Manal walioko Saudia hii barua watahisi imewachafulia badala ya kuwafagilia.
Na inakuwaje barua aandikiwe Hillary badala ya waume zao na kwa mfalme anayetawala Saudia?.
Eti kuna mmoja alibakwa na dereva wake!.Hapa ndio kabisa mwandishi hakujua anachoandika na kutetea.Huko Saudia kama kweli kubakwa aliona ni kosa hukumu yake si kudai kuendesha gari bali angemshtaki tu na yawezekana angepigwa mawe mpaka afe.
Hivi kweli mwanamke wa Marekani anaweza kulalamika kuhusu ubaya wa kubaka kweli.Si ndio utamaduni wao huo wa kubakana.Katika nchi ya kiislamu tu ndiko ambako kubakana hakuna.
Nahisi wanakampeni hii ya gari wameishiwa kama wenzao wa Libya.
 
i know a woman from saudi.. kuna siku ttulikuwa kwenye foleni , mimi na yeye tulikuwa kwenye public transport, mbele kulikuwa na mama wa kizungu kaweka foleni ... akanambia " this is why in saud women are not allowed to drive" ... ehh! wao wenyewe wanaona sawa tu.
 
Kila nchi na kanuni na sheria zake, waingereza wameruhusu Mashoga kuongoza ibada Kanisani dunia inaona sawa? Tafakari
 
Mkuu Hawa hawana tofauti na kina mama wa Jordan, Egypt au katika nchi ambazo wanaonesha nywele na sura...au unakusudia wanapokuwa "beaches"?
Semo semo. Nonda what is going on here?
 
Back
Top Bottom