Saudi state-owned media warns Russia will exploit vacuum if US imposes sanctions

Dah umeongea mambo ya kweli kabisa najisikia simanzi,huzuni na naweza kububujikwa na machozi.(WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU) wamefumba macho juu ya hili.
 
Afya, amani, furaha na PESA ni baraka kutoka kwa Mwenye Enzi Mungu walahi
 
Ni kweli kabisa
Sisi waafrika ni jambo kubwa sana kujifunza na kufunguka! Wadhungu hawatupendi hata kidogo wao wanajali maslahi yao tuu walahi
To deal nao kwa hekima na busara sio kukurupuka walahi
 
Dah umeongea mambo ya kweli kabisa najisikia simanzi,huzuni na naweza kububujikwa na machozi.(WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU) wamefumba macho juu ya hili.

Ndio hao wadhungu, wameshikana hawawezi angushana!
Africa tujifunze kwenye hili walahi
Machanga ya macho is enough walahi
 
China na Russia hawawezi kuwa global power hata siku moja mpaka dunia inaisha mpaka kiingereza kiwe lugha yao ya taifa.
.
Usinijibu na hoja ya Germany maana ntakufikiria uliishia grade 1 shule
Ndio upeo wako ulipoishia hapo.
 
Kumbe kiongozi akiwa yuko focused,nchi inasonga. Kwa sasa Putin ameleta changamoto sana. Kwa sasa Russia iko vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…