lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,152
- 33,344
Dah umeongea mambo ya kweli kabisa najisikia simanzi,huzuni na naweza kububujikwa na machozi.(WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU) wamefumba macho juu ya hili.Lakini hawa watu si ndio ujifanya vinara wa kutetea haki za binadamu??
Juzi hapa Uingereza ilifanya usanii kwa kudai former double Agent wa Urusi alilishwa sumu,sasa nini kilifatia baada ya madai hayo potofu Trump alifukuza zaidi ya wanadiplomasia 30 wa Urusi,walishawishi Mataifa mengine ya magharibi kifanya hivyo, Trump hakuishia hapo aliwekea vikwazo Urusi kwa madai kwamba inakihuka haki za binadamu,yaani Trump anajifanya aliguswa sana na tukio hilo LA kuchonga tu kuliko Uingereza ambako jasusi alikuwa anaishi, mpaka leo Dunia haijawahi kuonyeshwa picha ya Jasusi akiwa amelazwa Hospitalini.
Sasa huyu Msaudia aliye kuwa anaishi na kufanya kazi Marekani kauwawa kikatiri kwa kutumia "CHAIN SAW" kakatwa vipande vipande ili kupoteza ushahidi, Trump anajua ukweli huo baada ya kutonywa na Uturuki lakini hapa anajifanya as if Ufalme wa Saudia hawahusiki moja kwa moja na mauuaji hayo, tukio hilo lingetokea kwenye Balozi za Syria saa hizi Trump na washiriki wake wangekuwa wamekwisha ishambulia Syria kwa kutumia ndege na makombola.