INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,255
peponi kwenye mapepo wa chafu nyie mnayoita majini wema,kwa kina makata,maimmuna nawengineo..ndo unamaanisha huko!??nenda mwenyewe mie ntakuwa paradiso ya milele huko ambako hakuna njaa,hakuna chuki,hakuna magonjwa,hakuna vifoWakristo msahau kwenda peponi, labda mbahatike kuwa waislam, kabla hamjafa. Ingekuwa kila anaye fanya mazuri anaenda peponi ingekuwa hakuna haja ya kufata mafunzo ya Prophet Ibrahim na Prophet Muhammad.