Saudi Arabia yagoma kupeperusha bendera nusu mlingoti kwa kifo cha Mandela

Status
Not open for further replies.
Baada ya kifo cha aliyekuwa rais wa Afrika ya Kusini na mwanaharakati maarufu Nelson Mandela nchi nyingi duniani zimeamua kupeperusha bendera zao nusu mlingoti ishara ya kuguswa na kifo cha mwanaharakati huyu mandela katika kuwakomboa watu weusi kutoka minyororo ya ubaguzi na unyanyasaji. Hata hivyo pamoja na Saudia Arabia kuutambua mchango wa Nelson Mandela katika harakati za ukombozi lakini imekataa kushusha bendera yake na kupepea nusu mlingoti kwasababu bendera hiyo imeandikwa maneno ya Mwenyezi Mungu(LAAILAHAILLAH MUHAMMAD RASULULLAH) na kamwe haiwezi kushushwa hata akifa mfalme wao.
Binafsi naupongeza msimamo huu with due respect kwa mwaharakati huyu lakini si haki kushusha bendera yenye maneno ya Mungu kwa kifo cha binadamu.


Ufinyu wa fikra na uvivu wa kutumia akili hapa wasaudia ni kama wamejitengenezea mungu mwingine. Japo naheshimu maneno ya mwenyezi mungu hawa inaonekana kama wanataka kuifanya bendera yao nayo kuwa mungu. Huwezi kuabudu kipande cha kitambaa namna hiyo.

Kuna siku wataisujudu hiyo bendera. poor saudis
 
Hayo maneno ya nasema Hakuna Mungu zaidi ya mmoja tu, na Mtume Muhamamd ni The Messenger of God.

Swali lako la pili, kwani Bibilia zenu zilichapishwa mbinguni?

Swali lako la tatu bendera kama hio haita weza kupepea nusu sababu ina maneno ya Mungu na mtume Muhammad.

Swali lako la nne ambalo we umeliweka la tano, Saud arabia hata mfalme wao akifa bendera yao haishushwi, sababu hao viongozi wao, hawana kitu mbele ya Mungu na mtume Muhammad.

Nadhani nimekujibu yote maswali yangu.


Sasa mimi nakuliza wewe swali hizo bendera zinazo shushwa kuwa nusu zina faida gani, je zimemsaidia Mandela kwenda peponi au kama alikuwa ana dhambi kafutiwa dhambi zake na kwenda peponi.

Kwa ujumla mimi namheshimu sana Mandela, lakini Mungu anasema mtu yoyote duniani akiwa na mazuri atalipiwa hapa hapa duniani hata kama ni mkristo, lakini kwa Mungu kama si Muislam asahau kwenda peponi.

Naomba Mungu amjalia Mandela awe kasema neno lake la mwisho Lailah Hailah Lah Muhamamdan Rasul Lah, kama hajasema hivyo na uhakika kabisa mnao enda motoni mtakuna naye Mandela, hata na mimi kama sikubahatika kwenda peponi takuna naye, waislam wasidhani ni wote wataenda peponi. Kama hamjafanya aliyo yafanya Prophet Ibrahim an Prophet Muhammad, SALAA, kama hamsali na kufanya mazuri msahau kuona pepo ya Mungu.

Daah! bakhti mbaya hujanijibu swali langu la pili ila badala ya kujibu umeuliza, sikuona haja ya wewe kuleta suala la biblia ilipochapishwa as if mimi niliuliza qur'an ilichapishwa wapi! Niliuliza suala la aya ya kwenye bendera nikidhani labda imetokea hivyo kama ambavyo inasemekana kutokea kwenye baadhi ya mbuzi au kondoo wanaozaliwa!
Hayo masuala ya nani mwenye sifa ya kwenda peponi inategemea na imani au dhana, kwa upande wangu mimi kila mtenda mema ataingia peponi regardless dini anayoamini.
 
Yeye mwenye bendera si ni marehemu?
Kwa hio Tanzania iwache kurusha bendera yake pia sababu aliye ileta bendera hio alisha kufa, au wewe unataka kusema hizo bendera za nchi zote walio ziletea wako hai pia hahaha.

Maswali mengine ni ya kitoto, mbona nyie hamuwachi kuvisoma vitabu vya Paulo mtume wenu waongo, tena nyie wote wenye vitabu vyenu ni marehemu Luke, Matthiew, John, and Mike, si wameisha kufa au bado wako hai hahaha.
 
Sawa, tunakubali kila nchi na utaratibu wake. Lakini mimi naamini bendera inatakiwa ipepee nusu mlingoti hata huko kwao(Saudia), kwasababu Nelson Mandela ni mja wa mwenyezi Mungu na Mungu pia ndio alimtuma na akambariki aweze kufanikiwa kwenye harakati zake za kumkomboa mtu mweusi kwenye kwenye mateso ya ubaguzi kwenye kipindi hicho. Hayo maswala ya kufa mfalme wao anayejilimbikizia mali sisi yanaweza yasituhusu.

Ushaambiwa....bendera ina maneno ya mwenyezi mungu...shahadah. Na haishushwi hata akifa mfalme wao.
 
Daah! bakhti mbaya hujanijibu swali langu la pili ila badala ya kujibu umeuliza, sikuona haja ya wewe kuleta suala la biblia ilipochapishwa as if mimi niliuliza qur'an ilichapishwa wapi! Niliuliza suala la aya ya kwenye bendera nikidhani labda imetokea hivyo kama ambavyo inasemekana kutokea kwenye baadhi ya mbuzi au kondoo wanaozaliwa!
Hayo masuala ya nani mwenye sifa ya kwenda peponi inategemea na imani au dhana, kwa upande wangu mimi kila mtenda mema ataingia peponi regardless dini anayoamini.
Wakristo msahau kwenda peponi, labda mbahatike kuwa waislam, kabla hamjafa. Ingekuwa kila anaye fanya mazuri anaenda peponi ingekuwa hakuna haja ya kufata mafunzo ya Prophet Ibrahim na Prophet Muhammad.
 
Kuchanganya siasa na Dini,tusishangee ya bendera hawa watu hawataki hata wanawake wao waendeshe gari,kwa jina la uislam,sasa sijui na hii ya wanawake kuendesha gari imetoka kwa mtume vilevile?

Wamesahau mke wa mwanzo wa mtume Mohammad alikuwa mfanya biashara na kabla mtume ajapewa utume alikuwa akifanya kazi kwa huyu bibi Khadija,Je mtume alimkataza Khadija asifanye biashara

Hawa wasaudia Wanafik tu kila kitu wanasingizia uislam
 
Ushaambiwa....bendera ina maneno ya mwenyezi mungu...shahadah. Na haishushwi hata akifa mfalme wao.
Wengine hapa hata uwafahamishe vipi hawasikii sababu wana magonjwa yale ya chuki ya kuwachukia waislam, sababu wanajuwa wazi waislam ndio wanao enda peponi.


Nakumbuka siku moja nilimuambia rafiki yangu mmoja wakikristo wewe kwanini hutaki kuwa muislam, akasema sio sitaki najua uislam ni dini ya kweli kabisa, lakini naogopa family yangu. Hahaha yeye haogopi Mungu kama anavyo ogopa family yake. Sa we unategemea hawa wa kristo kweli wazima. Si unajau kuna vichaa wengine hawarushi mawe, sa usidhani wote vichaa ni warusha mawe tu, wengine tunao humu wanasoma hawafahamu.
 
Kuchanganya siasa na Dini,tusishangee ya bendera hawa watu hawataki hata wanawake wao waendeshe gari,kwa jina la uislam,sasa sijui na hii ya wanawake kuendesha gari imetoka kwa mtume vilevile?

Wamesahau mke wa mwanzo wa mtume Mohammad alikuwa mfanya biashara na kabla mtume ajapewa utume alikuwa akifanya kazi kwa huyu bibi Khadija,Je mtume alimkataza Khadija asifanye biashara

Hawa wasaudia Wanafik tu kila kitu wanasingizia uislam
We hujui kila nchi ina ramani yake, hivi we unaweza kumruhusu bint yako akaendesha gari kwenye desert ya Saud Arabia? Unless uwe kichaa ndio utasema aendeshe gari.
 
Bendera hata iandikweje inabaki kuwa kitambaa tu....na walizuie jua kukipausha hicho kitambaa na mvua....mwisho wa siku huchakaa na kuchanika......nataka nione kama bendera zilizo nje ya UN new york km zimeshushwa na hiyo ya wasaudia imeshushwa?.....


Non sense.........
 
Hayo maneno ya nasema Hakuna Mungu zaidi ya mmoja tu, na Mtume Muhamamd ni The Messenger of God.

Swali lako la pili, kwani Bibilia zenu zilichapishwa mbinguni?

Swali lako la tatu bendera kama hio haita weza kupepea nusu sababu ina maneno ya Mungu na mtume Muhammad.

Swali lako la nne ambalo we umeliweka la tano, Saud arabia hata mfalme wao akifa bendera yao haishushwi, sababu hao viongozi wao, hawana kitu mbele ya Mungu na mtume Muhammad.

Nadhani nimekujibu yote maswali yangu.


Sasa mimi nakuliza wewe swali hizo bendera zinazo shushwa kuwa nusu zina faida gani, je zimemsaidia Mandela kwenda peponi au kama alikuwa ana dhambi kafutiwa dhambi zake na kwenda peponi.

Kwa ujumla mimi namheshimu sana Mandela, lakini Mungu anasema mtu yoyote duniani akiwa na mazuri atalipiwa hapa hapa duniani hata kama ni mkristo, lakini kwa Mungu kama si Muislam asahau kwenda peponi.

Naomba Mungu amjalia Mandela awe kasema neno lake la mwisho Lailah Hailah Lah Muhamamdan Rasul Lah, kama hajasema hivyo na uhakika kabisa mnao enda motoni mtakuna naye Mandela, hata na mimi kama sikubahatika kwenda peponi takuna naye, waislam wasidhani ni wote wataenda peponi. Kama hamjafanya aliyo yafanya Prophet Ibrahim an Prophet Muhammad, SALAA, kama hamsali na kufanya mazuri msahau kuona pepo ya Mungu.

kwenye conclusion yako umekosa busara umejibu kama hayawani ukiwa na chuki za wazi katika watu/mtu wadini fulani,kaa ukijua hata miongozo mingine ya kidunia inayotufanya kuwa pamoja ni amri inayotoka kwa Mungu,tatizo linakuja kuuamisha umma mzima kwa kila unachokiamini wewe ni sahihi kuliko ,bila kutanguliza mbele heshima kwa walio tofauti na imani yako..
 
Who cares what Saudis do? Washushe wasishushe sawa tu.

kwanza hakuna mtu mbaya kama mwarabu kila alipo tia maguu kaacha laana,kwanza jamii nzima ya wavivu na ombaomba,watu wa chuki na majungu..jaribu kutazama mijii alio kaa mwarabu utagundua
 
Sawa, tunakubali kila nchi na utaratibu wake. Lakini mimi naamini bendera inatakiwa ipepee nusu mlingoti hata huko kwao(Saudia), kwasababu Nelson Mandela ni mja wa mwenyezi Mungu na Mungu pia ndio alimtuma na akambariki aweze kufanikiwa kwenye harakati zake za kumkomboa mtu mweusi kwenye kwenye mateso ya ubaguzi kwenye kipindi hicho. Hayo maswala ya kufa mfalme wao anayejilimbikizia mali sisi yanaweza yasituhusu.

What did you intended to insunuite here? Mbona hueleweki mkuu.
 
kwanza hakuna mtu mbaya kama mwarabu kila alipo tia maguu kaacha laana,kwanza jamii nzima ya wavivu na ombaomba,watu wa chuki na majungu..jaribu kutazama mijii alio kaa mwarabu utagundua

Ombaomba wamejaa pale Dodoma kuliko mji wowote Tanzania nako muarabu kaishi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom