Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Desemba 20 hadi Desemba 27 hakutakuwa na ndege, meli au gari linalotoka kwenye maeneo yenye aina mpya ya #COVID19 litakaloingia Saudi Arabia.
Safari zote za ndege zimefutwa na mipaka imefungwa kwa nchi zote isipokuwa zile nchi ambazo hazijaonesha kuwa na aina mpya ya #COVID19.
Ndege zilizoko Saudia zitaruhusiwa kuondoka. Zuio hilo linakuja baada ya nchi nyingine kuweka zuio hilo baada ya COVID19 mpya kugundulika kwa mara ya kwanza kusini mashariki mwa Uingereza.
Shughuli za ndani zinaruhusiwa kwa kuzingatia miongozo ya afya kama kutumia vitakasa mikono, pia mikusanyika imeamriwa kutozidi watu 50.
Safari zote za ndege zimefutwa na mipaka imefungwa kwa nchi zote isipokuwa zile nchi ambazo hazijaonesha kuwa na aina mpya ya #COVID19.
Ndege zilizoko Saudia zitaruhusiwa kuondoka. Zuio hilo linakuja baada ya nchi nyingine kuweka zuio hilo baada ya COVID19 mpya kugundulika kwa mara ya kwanza kusini mashariki mwa Uingereza.
Shughuli za ndani zinaruhusiwa kwa kuzingatia miongozo ya afya kama kutumia vitakasa mikono, pia mikusanyika imeamriwa kutozidi watu 50.