huo ndo ukweli,unadhani kwani marais wa marekani wanakuaga wanyenyekevu sana wakikutana na king wa saud?.
Uchumi wa marekani kwa kiasi kikubwa uko tied na mfumo wa petroldollar na unaitegemea sana saud.
Pia saud wameinvest sana marekani,
baada ya china nadhani anafuata saud kwa kuinvest hela yao marekani