Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,580
- 6,279
Habari wana JF,
ni matumaini Mungu ametukirimu uzima, sote tumshukuru,
napenda kuwajulisha ndugu, rafiki na watanzania wenzangu kwa ujumla juu ya mkutano mkubwa unaorushwa kwa njia ya satellite kutoka kanisa la wasabato Kinyerezi Dar es salaam, ambao unarushwa moja kwa moja kwenye vyombo vya habari vya Hope channel Tz, morning star redio na vyombo vingine vya habari.
mkutano huu unamafundisho mengi ambayo yamesaidia watu wengi kufahamu kweli za biblia na lile kusudio la Mungu kwetu sisi wanadamu,
wengi wamefunguliwa wakubwa kwa wadogo na hata makanisa mengi yameongoka kwa mafundisho yake ya KWELI ya biblia.
ni fursa yako wewe mwenye kuhitaji kumjua Mungu na kufunuliwa mapenzi yake, fursa kwako mwenye maswali mengi juu ya Mungu kwani hakuna swali litaachwa na majibu yoote yatatoka kwenye Biblia na supplementaries ya vitabu vya kidini.
hakika hutabaki hivyo ulivyo karibu saaana.
ni matumaini Mungu ametukirimu uzima, sote tumshukuru,
napenda kuwajulisha ndugu, rafiki na watanzania wenzangu kwa ujumla juu ya mkutano mkubwa unaorushwa kwa njia ya satellite kutoka kanisa la wasabato Kinyerezi Dar es salaam, ambao unarushwa moja kwa moja kwenye vyombo vya habari vya Hope channel Tz, morning star redio na vyombo vingine vya habari.
mkutano huu unamafundisho mengi ambayo yamesaidia watu wengi kufahamu kweli za biblia na lile kusudio la Mungu kwetu sisi wanadamu,
wengi wamefunguliwa wakubwa kwa wadogo na hata makanisa mengi yameongoka kwa mafundisho yake ya KWELI ya biblia.
ni fursa yako wewe mwenye kuhitaji kumjua Mungu na kufunuliwa mapenzi yake, fursa kwako mwenye maswali mengi juu ya Mungu kwani hakuna swali litaachwa na majibu yoote yatatoka kwenye Biblia na supplementaries ya vitabu vya kidini.
hakika hutabaki hivyo ulivyo karibu saaana.