Mbona kile cha mwanzo walikidungua kabla hakija leta madhara, ina maana hiki wameshindwa. Natamani kidondokee hapohapo NASA senta.
Labda ilishakatika vipande zamani wanazuga wamekuta ilisha anza safari ya kurudi wakawa hawana lakufanya.
natamani idondokee juu ya nyumba yangu wamarekani waje kunijengea nyingine
kwa wale wanaujua mahesabu watakubaliana na mimi hii habari ni kwaajili ya kuchangamsha jukwaaa.
Probability of hapening 1:20,000,000,000,000.
Hivi ukaambiwa Probality yako ya Kupata kazi ndio hiyo utakaa chini uanze Kusherekea? Au ukiambiwa probality yako ya kufa leo ndio hiyo utakaa chini uanze kulia?
No way.
kwa wale wanaujua mahesabu watakubaliana na mimi hii habari ni kwaajili ya kuchangamsha jukwaaa.
Probability of hapening 1:20,000,000,000,000.
Hivi ukaambiwa Probality yako ya Kupata kazi ndio hiyo utakaa chini uanze Kusherekea? Au ukiambiwa probality yako ya kufa leo ndio hiyo utakaa chini uanze kulia?
No way.