Mkuu
ilonga, tafadhari fafanua vizuri maana nijuavyo mimi star times receiver yao ina tuner tu kama tv za zamani, sasa ilo dish kutoka ktk hiyo DVB inatumika kama signal ya antena au input signal ya sattelite receiver? Hao star times wapo katika masafa ya MHS je channels gani tofauti unazozipata tofauti na zile za star times? na je dish linaelekea wapi?