Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Hivi umeshatazama jamii ya kitanzania tunayoishi miaka hii ipoje jinsi hiki kizazi chetu kinavyozingua?!
Ni kwamba mfalme au mkuu wa malaika wa giza anafanikiwa taratibu kututoa kwenye jukumu la kuileta duniani ile bustani ya edeni tunafeli taaratibu sio kwasababu hatuna nguvu za kuifanya hiyo kazi ila ni kwasababu tunaamua kuwa dhaifu kukubali mfalme wa giza ashinde bila kujua ni usaliti kufanya hivyo.
Ngoja niwape viashiria kuwa tunamtengenezea mazingira ya kushinda ibilisi au mfalme wa giza kwa makusudi kabisa.
Ni kwamba mfalme au mkuu wa malaika wa giza anafanikiwa taratibu kututoa kwenye jukumu la kuileta duniani ile bustani ya edeni tunafeli taaratibu sio kwasababu hatuna nguvu za kuifanya hiyo kazi ila ni kwasababu tunaamua kuwa dhaifu kukubali mfalme wa giza ashinde bila kujua ni usaliti kufanya hivyo.
Ngoja niwape viashiria kuwa tunamtengenezea mazingira ya kushinda ibilisi au mfalme wa giza kwa makusudi kabisa.