Sasa tunakaribia patamu

Sasa tunakaribia patamu

BUSAMUDA

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2014
Posts
612
Reaction score
358
1. Bodaboda wafunga barabara Mbeya.

2.Jaji agoma kujitoa - kesi ya CUF.

3.Max anyimwa dhamana.

4.Lema anyimwa dhamana.

5.Ben Saanane haonekani.

6.Maiti zakutwa ndani ya mifuko.

7.Rais afumua sisiemu.

8.Bei ya sembe yapaa.

Mungu ibariki Tanzania manake tunakoelekea tunaambiwa ni kuzuri zaidi.
 
Tatizo ni magufuli kivipi? Any way utajificha kwenye kivuli cha kutokamilisha jina ila dhamira yako inaonekana wazi unakusudia nini!

MTU alaumiwe kwa lawama za dhahiri sio mihemko ya matukio na hali bei ya sembe inapaa tatizo ni magufuli sawa na siku mkisikia vifaru vya adui vinaikaribia nusu ya nchi tokea upande wa adui mtamlaumu nani kama mpk sembe mnamlaumu magufuli mwacheni huyu mzee apige kazi kuna mambo ya kumnyoshea kidole yeye moja kwa moja ila mengine hapana baada ya miaka mitano tutampima tena ila kwasasa anafanya vema labda kwenye Uhuru wa kutoa maoni hapa ndio anapokosa kredit ila mengine hapana tuwe wazi.
 
Tatizo ni magufuli kivipi? Any way utajificha kwenye kivuli cha kutokamilisha jina ila dhamira yako inaonekana wazi unakusudia nini!

MTU alaumiwe kwa lawama za dhahiri sio mihemko ya matukio na hali bei ya sembe inapaa tatizo ni magufuli sawa na siku mkisikia vifaru vya adui vinaikaribia nusu ya nchi tokea upande wa adui mtamlaumu nani kama mpk sembe mnamlaumu magufuli mwacheni huyu mzee apige kazi kuna mambo ya kumnyoshea kidole yeye moja kwa moja ila mengine hapana baada ya miaka mitano tutampima tena ila kwasasa anafanya vema labda kwenye Uhuru wa kutoa maoni hapa ndio anapokosa kredit ila mengine hapana tuwe wazi.
Nafasi ya DC Mtwara ipo wazi.
 
Kuna watu msipobadilika mkiwa vijana uzeeni kwenu mtakuwa wachawi haiwezekani kila kitu Magufuli huu ni upepo tu utapita maana kabla ya Magufuli haya matukio hayakuwepo ? Jibu ni kuwa yalikuwepo kwa mazingira tofauti
 
  • Thanks
Reactions: MJJ
Ggg
Gghu7y
1. Bodaboda twafunga barabara Mbeya.

2.Jaji agoma kujitoa - kesi ya CUF.

3.Max anyimwa dhamana.

4.Lema anyimwa dhamana.

5.Ben Saanane haonekani.

6.Maiti zakutwa ndani ya mifuko.

7.Rais afumua sisiemu.

8.Bei ya sembe yapaa.

Mungu ibariki Tanzania manake tunakoelekea tunaambiwa ni kuzuri zaidi.
 
Tatizo ni magufuli kivipi? Any way utajificha kwenye kivuli cha kutokamilisha jina ila dhamira yako inaonekana wazi unakusudia nini!

MTU alaumiwe kwa lawama za dhahiri sio mihemko ya matukio na hali bei ya sembe inapaa tatizo ni magufuli sawa na siku mkisikia vifaru vya adui vinaikaribia nusu ya nchi tokea upande wa adui mtamlaumu nani kama mpk sembe mnamlaumu magufuli mwacheni huyu mzee apige kazi kuna mambo ya kumnyoshea kidole yeye moja kwa moja ila mengine hapana baada ya miaka mitano tutampima tena ila kwasasa anafanya vema labda kwenye Uhuru wa kutoa maoni hapa ndio anapokosa kredit ila mengine hapana tuwe wazi.
Utahukumiwa kwa kumpoteza Ben
 
1. Bodaboda wafunga barabara Mbeya.

2.Jaji agoma kujitoa - kesi ya CUF.

3.Max anyimwa dhamana.

4.Lema anyimwa dhamana.

5.Ben Saanane haonekani.

6.Maiti zakutwa ndani ya mifuko.

7.Rais afumua sisiemu.

8.Bei ya sembe yapaa.

Mungu ibariki Tanzania manake tunakoelekea tunaambiwa ni kuzuri zaidi.

Na ChristMass wameahirisha
 
Bodaboda Lowassa
mamantilie Lowassa
Wamachinga Lowassa

Eehh eehh Lowassa, tunakupenda Lowassa

Makapuku Lowassa
Maxe Melo Lowassa
JamiiForums Lowassa

Tunampenda Lowassa

Arusha Lowassa
Dasalamu Lowassa
Zanzibar Lowassa
Eehh eehh Lowassa

Mnatia huruma sana hata bado ccm vilaza watakufa na roho mbaya zao.

Jingalao kilaza
Barbosa kilaza
Lizabon kilaza

Mwenyekiti wao malizia wewe ...........


Ndukiiiii
 
Back
Top Bottom