1. Bodaboda wafunga barabara Mbeya.
2.Jaji agoma kujitoa - kesi ya CUF.
3.Max anyimwa dhamana.
4.Lema anyimwa dhamana.
5.Ben Saanane haonekani.
6.Maiti zakutwa ndani ya mifuko.
7.Rais afumua sisiemu.
8.Bei ya sembe yapaa.
Mungu ibariki Tanzania manake tunakoelekea tunaambiwa ni kuzuri zaidi.
2.Jaji agoma kujitoa - kesi ya CUF.
3.Max anyimwa dhamana.
4.Lema anyimwa dhamana.
5.Ben Saanane haonekani.
6.Maiti zakutwa ndani ya mifuko.
7.Rais afumua sisiemu.
8.Bei ya sembe yapaa.
Mungu ibariki Tanzania manake tunakoelekea tunaambiwa ni kuzuri zaidi.