pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
hii ni mojawapo ya sectors za malavi davi inakyokuwa overlooked ila aparently inasababisha matatizo... sasa wenye uzoefu tupeane maujuzi humu,tusije tukaachika bure lol... tufundishane namna nyengine za kupika nyama, wali, mboga za majani na vile vyakula vya asili... kujua aina moja tu ya upishi inachosha tufundishane varieties jamani
NB: Na wale wengine wenye recipe rahisi rahisi na fupi mnaweza kuongezea hata wakaka wanaoishi kibachela napo wapate maujuzi, mie mpaka leo sijui kupika wali wa nazi ingawa kila siku najitahidi kujaribu lol, nawish by the time naolewa niwe nimejuwa lol.
nimeona hii picha facebook, nikawa mpole mie sijui kama nitaweza kuja siku moja kutandaza meza namna hii........
najua siko peke yangu wadada tuzungumze kikike mambo yasiharibike:becky::becky::mwaaah:...naombeni kwa kuanzia mnaojua zile sambusa ile nyama ya ndani ya kusaga wanatia viungo gani/wanapikaje?.
Karibuni.
NB: Na wale wengine wenye recipe rahisi rahisi na fupi mnaweza kuongezea hata wakaka wanaoishi kibachela napo wapate maujuzi, mie mpaka leo sijui kupika wali wa nazi ingawa kila siku najitahidi kujaribu lol, nawish by the time naolewa niwe nimejuwa lol.
nimeona hii picha facebook, nikawa mpole mie sijui kama nitaweza kuja siku moja kutandaza meza namna hii........
najua siko peke yangu wadada tuzungumze kikike mambo yasiharibike:becky::becky::mwaaah:...naombeni kwa kuanzia mnaojua zile sambusa ile nyama ya ndani ya kusaga wanatia viungo gani/wanapikaje?.
Karibuni.