Haliali
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 574
- 263
typing error but ujumbe umewafikia
Ndugu hujaandika kwa bahati mbaya , kimtokacho mtu ndicho kilicho ujaza moyo wake. unamkumbuka yule MC kwenye mkutano wa Ritz alisema mwenyewe maendeleo yana patikana chadema akajaribu kujitetea ila ujumbe ulifika. nawe ujumbe umefika " CCM watashindwa kwa kwakishindo"
Last edited by a moderator: