naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 647
- 800
Ukiangalia idadi ya wapiga kura zilizotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi unaweza kujifunza kitu pale, kila Mkoa nusu ya waliojindikisha ni wanachama wa CCM na idadi iliyobaki ni za wapinzani pamoja na wasiopiga kura kwa mantiki hiyo naamini CCM itashinda kwa kishindo, moja ya mtaji wa CCM katika chaguzi zote ni wanachama wa wao, hivyo CCM haiiogopi mafuriko,wanao msingi wa kutosha kabisa wa kukipa ushindi.
Kwanini UKAWA watashindwa.
1.Hawana mtaji wa wanachama wao wanategemea kudra za wananchi.
2.Wanachama wa CHADEMA walio wengi si wapiga kura
itaendeleea..
Kwanini UKAWA watashindwa.
1.Hawana mtaji wa wanachama wao wanategemea kudra za wananchi.
2.Wanachama wa CHADEMA walio wengi si wapiga kura
itaendeleea..