sasa nimeamin kuwa wanajf tunapendana!

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,254
12,872
habari zenu kwa mpigo! kwanza naombeni radhi. niliaga kuwa sitaonekana kwa kukwazika na kutajwa tajwa kitu ambacho si kweli. ukweli ni kwamba wiki nzima tulikuwa na auditors ofisi na tulikuwa vimeo vya kutosha. so niliona nipumzike kwa muda ili nipate nafas ya ku-clear vimeo.kimsing najua wakati ndio sasa alikuwa ana-joke ila nikataka kuona ni jins gan wana-jamvi wananipenda. nawashukuru sana kwa upendo wenu mlouonesha nimeamin tupo pamoja ila kuna walionibeza kuwa nafanya utoto nimewasamehe!
 
Last edited by a moderator:
samahani wapendwa simu yangu haiwezi kupost maneno meng. naelewa nini maana ya chit chat so sijakwazika kwa kutajwa wala nini, me nipo simple sana na wala siogopi kutajwa popope iwe katka jf ama real life kwan kutajwa hakunipunguzii hata chembe ya uhai wala kuniongezea. nimegundua wanaonipenda na wasionipenda ktk jf. ila napenda kusema kuwa ili ufanikiwe ktk jambo lolote unahitaji marafiki na maadui au positive na negative. nina imani mmenielewa. naomba lawyer wangu ruttashobolwa anisaidie. . EID NJEMA
 
Last edited by a moderator:
Hebu nikumbushe, mimi nilicomment chochote kwenye thread yako?
By z way karibu tena! Idd Mubarak

mkuu sina kumbukumbu kama uli-comment vibaya bt asilimia kubwa walionesha upendo wao kwangu na walisikitishwa na kuondoka kwangu. bt wachache walionibeza ndo nawakumbuka ila nimewasamehe. . .
 
nachukua fursa hii kukuomba radhi rafk yangu,shost angu na kipenz changu beibe nasty, pole sana mpenzi kiukweli uliumia sana toka moyoni. . nisamehe nimerudi mamie. shem wangu Judgement natumai utanisaidia kuomba msamaha nawe pia naomba unisamehe kwa kukuumizia kipenzi chako!
 
Last edited by a moderator:
samahani wapendwa simu yangu haiwezi kupost maneno meng. naelewa nini maana ya chit chat so sijakwazika kwa kutajwa wala nini, me nipo simple sana na wala siogopi kutajwa popope iwe katka jf ama real life kwan kutajwa hakunipunguzii hata chembe ya uhai wala kuniongezea. nimegundua wanaonipenda na wasionipenda ktk jf. ila napenda kusema kuwa ili ufanikiwe ktk jambo lolote unahitaji marafiki na maadui au positive na negative. nina imani mmenielewa. naomba lawyer wangu ruttashobolwa anisaidie. . EID NJEMA
Don worry ma client they will understand!
Your now under protection do not sign any contract without ma permission!
Those who will not forgive you have right to Appeal!
 
Last edited by a moderator:
mamito unakumbuka maneno yako? ngoja nikukumbushe

nasikitika kuwataarifu kuwa kuanzia jumapili ya tarehe 12 sitakuwepo tena jf, najipiga ban ya hiyari kwani nimechoka kufuatiliwa. nahisi kuboreka na wanaonibore na wanajijua/wanajifahamu. yan wakipost topic ama kukoment hawachoki kunitaja taja. jaman siwataki hv mkoje! bakini na jf yenu mfurahie bila kuniona ili roho zenu zifurahi. . . . kwaheri ya kutoonana!


mimi binafsi hata kama umefanya nipate majina mazuri ya pachaz nimekwazika,

ilibidi ufungue basi thread ya kuomba msamaha. mie nakupenda na ni mmoja wa watu nilikuwa

nakukubali sana na kuku mention mara kwa mara, iliniuma sana siku hio hadi pressure kupanda.
 
heeeee switilo bora ulivyorudi maana hadi raha ya JF ilianza kupungua!!!!!! welcom back!!!!! and eid mubarak
 
Afadhali umerudi yamwishe machozi bwana wako.
(Source: mbaraka mwinshehe mwaluka RIP).
 
nachukua fursa hii kukuomba radhi rafk yangu,shost angu na kipenz changu beibe nasty, pole sana mpenzi kiukweli uliumia sana toka moyoni. . nisamehe nimerudi mamie. shem wangu Judgement natumai utanisaidia kuomba msamaha nawe pia naomba unisamehe kwa kukuumizia kipenzi chako!

Wwaoohh !
Charmy!
On behalf of my wife NastyBeibe i'm accept the apology !
Thanks you for your responses respectively!
I really appreciated !
Like everthin in life, that's hard to achieve.
You must believe due these declaration will be much better on her (Beibe Nasty)
Unfortunately we are missin a couple of dayz , worth of your atractive posts.
I thought it was over!
But here you come back again !
I hope you missin us too much while we've been away! But we're back and ready to move foward now!.
I'm sure we can all be happy , it wasn't much more! As it was the first time round .
Cheers !
 
Last edited by a moderator:
nachukua fursa hii kukuomba radhi rafk yangu,shost angu na kipenz changu beibe nasty, pole sana mpenzi kiukweli uliumia sana toka moyoni. . nisamehe nimerudi mamie. shem wangu Judgement natumai utanisaidia kuomba msamaha nawe pia naomba unisamehe kwa kukuumizia kipenzi chako!

Wwaoohh !
Charmy!
On behalf of my wife NastyBeibe i'm accept the apology !
Thanks you for your responses respectively!
I really appreciated !
Like everthin in life, that's hard to achieve.
You must believe due these declaration will be much better on her (Beibe Nasty)
Unfortunately we are missin a couple of dayz , worth of your atractive posts precisely!!
I thought it was over!!
But here you come back again !
I hope you missin us too much while we've been away! But we're back and ready to move foward now tugeza (together!).
I'm sure we can all be happy , it wasn't much more! As it was the first time round .
Cheers !
 
Last edited by a moderator:
Hizi mbwembwe za humu nimezi kubali Erotica, usiondoke JF inakutegemea utupe thread tamu tamu. Na wazeya wengne 2komae. CHAMA CHA JAMVINI kipo juu.
 
Last edited by a moderator:
karibu sana,swali la kizushi! Je unajisikiaje ulipokuta wakati ndio sasa yupo kwenye kifungo cha ban,ambaye wengi tunaamini kuwa yeye ndio alisababisha wewe kuondoka jf?ingawaje umekiri kuwa ile ilikuwa si sababu mi naomba kujua hisia yako ya kumkuta wakati ndio sasa kapigwa ban
 
Last edited by a moderator:
Ruhazwe JR ndo kwanza unanitoa tongotongo kwa wakati ndio sasa kapigwa ban kwa sababu ipi? BTW nimesikitika kwan ntamiss usumbufu wake. nliamua kumsumbua ili jamvi linoge na wala sikuwa nachukia make km ningekuwa nachukizwa c ningekubali yakaisha make najua shda yake ilikuwa flirting ya hapa chitchat! i will miss him so much. . .
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom