mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,215
- 867
Habari wanajamvi. Zile semina za kila mwaka za Mtumishi wa Mungu Mwl. Christopher Mwakasege zimeanza leo jijini Tanga kwenye viwanja vya Tangamano kila siku kuanzia Saa 8 kamili mchana hadi saa 12 jioni hadi siku ya kilele jumapili ya tar 11.03.2012. Watu wa dini zote na imani zote ambao tuna nafasi ya kuhudhuria karibuni . Mungu atubariki Sote.!