NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,538
- 17,467
Niliwapa man city kutetea na Arsenal kuwa challenger mzuri msim Huu 2023/2024,lakin KWA usajili wa moises caicedo KWA pound million 106 kwenda liverpool,sasa majogoo wa jiji liverpool ni team ya kuogopwa na vigogo wote pale epl!
Midfield ya caicedo,macalister na Dominic szoboslai ni combination kali sana ya pressers tutakayoiona msimu huu!huku jota akiibuka tena KWA ufungaji BAADA ya injury lay off ya kipindi kirefu,akiwa na mkolombia luiz Diaz pamoja na nunez,salah aiseh HATARI sana mjipange wakuu!!
Nadhani foward, engine room na defense vinaenda kuimarika sana naiona Liverpool kama Bingwa mtarajiwa msim huu!
Tusubiri tuone!
Midfield ya caicedo,macalister na Dominic szoboslai ni combination kali sana ya pressers tutakayoiona msimu huu!huku jota akiibuka tena KWA ufungaji BAADA ya injury lay off ya kipindi kirefu,akiwa na mkolombia luiz Diaz pamoja na nunez,salah aiseh HATARI sana mjipange wakuu!!
Nadhani foward, engine room na defense vinaenda kuimarika sana naiona Liverpool kama Bingwa mtarajiwa msim huu!
Tusubiri tuone!