GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Kuna Watu wawili mpaka sasa Mmoja nilimsikia hapa juzi kati na mwingine nimebahatika kumsikia leo ama hakika wameanza kuonyesha jinsi walivyo Wanafiki watupu. Kila nikizikumbuka Kauli zao za ' Kibabe ' kama si za ' Kidekteta ' hawa Watu wawili kuanzia mwaka 2016 hadi hapo 2018 siamini kama leo ni kweli hao hao wamebadilika na kujifanya wana Mioyo ya Kibinadamu na Huruma.
Na kwa ninavyowajua Watanzania sasa hivi watawaamini na kuyasahau Machungu yao yote ambayo kwa 75% yalisababishwa na hawa hawa Watu wawili ambao leo hii wanajifanya ni Malaika wazuri, wanajua Utu na Ubinadamu kana kwamba vile wanataka kutuaminisha kuwa zile Kauli zao hazikuwa zao bali yawezekana waliingiwa tu na ' Mapepo ' na sasa yameshawatoka.
Danganyikeni na Lainikeni nyie ila Mimi An Eagle najua tu ya kwamba hasira zangu nazimalizia November 2019 na October 2020 ili basi iwe Fundisho kwa Wanafiki wengine wote ambao watathubutu Kujitokeza. Tanzania ya sasa siyo ile ya wale wa ' Oya Oya ' waliozoeleka miaka ile bali Watanzania wa sasa wanajielewa tena yawezekana hata kuliko hawa / hao Watu ' Wanafiki ' wawili.
Kudadadeki zenu!
Na kwa ninavyowajua Watanzania sasa hivi watawaamini na kuyasahau Machungu yao yote ambayo kwa 75% yalisababishwa na hawa hawa Watu wawili ambao leo hii wanajifanya ni Malaika wazuri, wanajua Utu na Ubinadamu kana kwamba vile wanataka kutuaminisha kuwa zile Kauli zao hazikuwa zao bali yawezekana waliingiwa tu na ' Mapepo ' na sasa yameshawatoka.
Danganyikeni na Lainikeni nyie ila Mimi An Eagle najua tu ya kwamba hasira zangu nazimalizia November 2019 na October 2020 ili basi iwe Fundisho kwa Wanafiki wengine wote ambao watathubutu Kujitokeza. Tanzania ya sasa siyo ile ya wale wa ' Oya Oya ' waliozoeleka miaka ile bali Watanzania wa sasa wanajielewa tena yawezekana hata kuliko hawa / hao Watu ' Wanafiki ' wawili.
Kudadadeki zenu!