Naomba nikurekebishe katika mambo mawili,
1.Sio kweli mwaka huu ndio mbinde kuingia chuo kulinganisha na miaka yote,early 80's and 90's vyuo vikuu vilikua vitatu tu yaani UDSM(+MUhimbili as college),SUA na Mzumbe(For In services).Hivyo ilikua wanaoingia ni wenye ufaulu mkubwa sana.
2.Hao unaodai watashindwa kwenda KCMC na kampala hawawezi kuingia MUHAS sabab ufinyu wa nafasi 180 na sio 150...hahaha...acha kuwa tia moyo maana hata muhas ingehitaji wanafunzi 500 always ina maintain standards zake ivo hao size ya KCMC na Kampala wasingeingia MUHAS.Niwe mkweli 99% ya wanaenda ivyo vyuo hua hawana sifa za kusoma MUHAS au UDSM.
Mwisho,niliwahi kuwashauri hawa wadogo zetu wakiwa wanafunzi wasome kwa bidii hasa PCB lakini walikua wanaona tunawatania.Sasa wanahaha wapi wakasome.Kwa aliyefaulu vizuri muda huu anachekelea tu na anafahamu kabisa wapi ataenda kufanyia degree yake.
Walio Advance,hali hii ikawe fundisho kwenu katika kuconcentrate kwny masomo na kuachana na mambo yasio ya msingi.
Sent using
Jamii Forums mobile app