Binafsi huwa siziamini Tume za uchunguzi zinazoundwa na wanasiasa hasa wabunge wa hili bunge letu. Matokeo ya uchunguzi wao huwa ni ya kisiasa zaidi na sidhani kama yanakuwa na nguvu za kisheria kama yakitumiwa kuwachukulia hatua wahusika waliotajwa vibaya kwenye ripoti hizi. Tumeona matokeo ya Tume ya Richmond na sasa hii ya Jairo zote zimejaa siasa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.