Hiki kituo kilikuwa kinatoa taarifa nzuri sana zisizoelemea upande wowote, nilikuwa naangalia habari za kimataifa, michezo na bbc ila tangu waanze kuwa imbalance nimeshakisahau kituo hiki na bbc sasa hivi naangalia kupitia internet. Msipojirekebisha tutawasahau ktk ulimwengu wa habari
Nawakilisha
Nawakilisha