Sasa hivi kuna mstari mwembamba unaotenganisha mke na mchepuko↔️mme na hawala

Sasa hivi kuna mstari mwembamba unaotenganisha mke na mchepuko↔️mme na hawala

ELI COHEN

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
9,375
Reaction score
28,484
Times have really changed.

Huko nyuma ikitokea baba/mama akawa na mchepuko basi alikuwa infanyika siri kubwa na michepuko walikuwa treated kwa nafasi ya makahaba waliochangamka. Lakini michepuko nayo ilijua nafasi, most of them hawakutaka kuvuka mstari wa boundary yao.

Ila sasa hivi, michepuko imechangamka sana, unakuta demu anamuambia mshkaji kuwa mwambie mke wako asinipigie pigie simu asinizoee, unakuta kajamaa kanaingia kwa mwanaume mwenzakko akiwa hayupo, kanatumia hadi taulo zake kujifutia. Michepuko sasa hivi inakimbia misibani kusikilizia kama itaitwa kwenye mgao wa mali.
 
Siku hizi mambo ya ndoa yamekuwa vululuvululu, watu wanafunga ndoa huku wakiendeleza libeneke na mademu zao wa zamani. Mtu kaolewa lakini bado ananyanduliwa nje na njemba nyingine. Mtu kaoa lakini bado kuna mwanamke mwingine naye anajichomeka kama mke wa ndoa ili tu naye afaidi unono sawa na mke wa ndoa. Kuna michepuko mingine imejengewa nyumba na kufunguliwa biashara kabisa. Unakuta mchepuko ndio unajua mapenzi kuliko mke wa ndoa. Inabidi jamaa aende nao tu hivyohivyo na wa ndoa na mchepuko. Mwanamke aliyeolewa nanye anakuwa kwa mume wake kimaslahi tu ila penzi lake analitoa kwa mchepuko zaidi, huko akiguswa kidogo tu anasisimka kimahaba kuliko kwa mume wake anamuona boya tu
 
Back
Top Bottom