Sasa hivi kila kona ya miji yetu ni vumbi kwa kwenda mbele

Sasa hivi kila kona ya miji yetu ni vumbi kwa kwenda mbele

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Kuanzia mwezi huu wa saba mpaka wa kumi kila kona ya nchi yetu ukienda maeneo ya mjini ni vumbi kwa kwenda mbele sitaki kuongelea vijijini sababu huko ndo habari ñyingine

Mfano sehemu kama posta, kariakoo kunakuaje na vumbi, mji kama tunduma unakuaje na vumbi, mji kama makambako unakujae na vumbi, inawezekana kutokomeza vumbi maeneo ya mijini na zile town centre kwa maeneo ya vijijini

Kuna mda najiuliza kwenye miji yetu tumeshindwa kuweka paving na lami kwenye kila barabara ili kupunguza hii adhi ya vumbi na ni kero sana kwa watu ambao hawana magari

Mji wa Florence walipiga mji mzima paving mwaka 1339 sisi kama nchi tunashindwa nini- mimi naamini tukiweka nia inawezekana kupiga paving na lami maeneo yote ya mjini

Nikiwa rais wa Tanzania baada ya kupima na kuwa na masterplan mpya hatua itakayofuata ni kuhakikisha kwenye miji ya tanzania kunakua hakuna vumbi naamini baada ya miaka 10 mpaka 20 tutakua tumefanikiwa kutokomeza vumbi kwenye maeneo ya mijini..

KUTAANZISHWA KAMPENI YA KUTOKOMEZA VUMBI MAENEO YOTE YA MIJI MIKUBWA, MIDOGO NA TOWN CENTRE KWA MAENEO YA VIJIJINI BAADA YA MDA MIJI YA TANZANIA MAENEO YA HAYO HAKUTAKUWA NA VUMBI TENA NA MATOPE KIPINDI CHA MVUA

 
Kuanzia mwezi huu wa saba mpaka wa kumi kila kona ya nchi yetu ukienda maeneo ya mjini ni vumbi kwa kwenda mbele sitaki kuongelea vijijini sababu huko ndo habari ñyingine

Kuna mda najiuliza kwenye miji yetu tumeshindwa kuweka paving na lami kwenye kila barabara ili kupunguza hii adhi ya vumbi na ni kero sana kwa watu ambao hawana magari

Mji wa Florence walipiga mji mzima paving mwaka 1339 sisi kama nchi tunashindwa nini- mimi naamini tukiweka nia inawezekana kupiga paving na lami maeneo yote ya mjini

Nikiwa rais wa Tanzania baada ya kupima na kuwa na masterplan mpya hatua itakayofuata ni kuhakikisha kwenye miji ya tanzania kunakua hakuna vumbi naamini baada ya miaka 10 mpaka 20 tutakua tumefanikiwa kutokomeza vumbi kwenye maeneo ya mijini..

Kwa sasa ni msimu wa jua yaani Kiangazi sasa unashangaa vumbi?
 
Hivi ilikuwaje nchi zilizoendelea zinafikia maendeleo haraka namna hiyo, je na wao walisota kwenye vumbi kama sisi?
 
Fisiemu NDO CHANZO CHA yoteeeeee matatizoooooooooooo
 
mkuu wakat wewe unaota. ingia mtandaon andika fasomebo uone Traore ibrahim anafanya .ndio mana nikasema haiwezekan ma dc wakaja na plan mfano mdogo tu pavements. tena wnamach wanachangia labour. makonda ndio anaeeza amsha amsha.
 
mkuu wakat wewe unaota. ingia mtandaon andika fasomebo uone Traore ibrahim anafanya .ndio mana nikasema haiwezekan ma dc wakaja na plan mfano mdogo tu pavements. tena wnamach wanachangia labour. makonda ndio anaeeza amsha amsha.
Makonda mbona ameshindwa kuondoa vumbi Arusha
Unasemaje mimi naota ilihali kila kona ya miji ya Tanzania kuna vumbi
 
Back
Top Bottom