Sasa hali ni shwari, tujenge nchi yetu

Sasa hali ni shwari, tujenge nchi yetu

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,092
Reaction score
1,917
Kadiri siku zinavyo zidi kusogea ni ukweli kwamba hali inaendelea kutengamaa na kuwa shwari ..

Zimebaki porojo za vijiweni na vumi za kichochezi kuhakikisha kuwa amani ina yumbishwa ila zote zinagonga mwamba na kufeli .

Utulivu ukisimamiwa navikosi vya usalama ume kuwa mkubwa sana na nnacho furahi zaidi ni kadiri siku zinavyo sogea ndio raisi wetu kipenzi cha wengi anazidi kuponya mioyo ya watanzania na yalio pita kusahaulika..

Ni toe rai lwa wale wanao jipanga kufanya uvunjifu wa amani siku za usoni acheni na msi turudishe nyuma sisi tunasonga mbele.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.
 
Kadiri siku zinavyo zidi kusogea ni ukweli kwamba hali inaendelea kutengamaa na kuwa shwari ..

zimebaki porojo za vijiweni na vumi za kichochezi kuhakikisha kuwa amani ina yumbishwa ila zote zinagonga mwamba na kufeli .

Utulivu ukisimamiwa navikosi vya usalama ume kuwa mkubwa sana na nnacho furahi zaidi ni kadiri siku zinavyo sogea ndio raisi wetu kipenzi cha wengi anazidi kuponya mioyo ya watanzania na yalio pita kusahaulika..

ni toe rai lwa wale wanao jipanga kufanya uvunjifu wa amani siku za usoni acheni na msi turudishe nyuma sisi tunasonga mbele.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.
Kenge hasikii mpaka damu zitoke sikioni
 
Kadiri siku zinavyo zidi kusogea ni ukweli kwamba hali inaendelea kutengamaa na kuwa shwari ..

zimebaki porojo za vijiweni na vumi za kichochezi kuhakikisha kuwa amani ina yumbishwa ila zote zinagonga mwamba na kufeli .

Utulivu ukisimamiwa navikosi vya usalama ume kuwa mkubwa sana na nnacho furahi zaidi ni kadiri siku zinavyo sogea ndio raisi wetu kipenzi cha wengi anazidi kuponya mioyo ya watanzania na yalio pita kusahaulika..

ni toe rai lwa wale wanao jipanga kufanya uvunjifu wa amani siku za usoni acheni na msi turudishe nyuma sisi tunasonga mbele.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.
Unajengaje nchi kukiwa na majeraha makubw ahivi? Yaani watu wapotezee tu kirahis tahisi
 
Kadiri siku zinavyo zidi kusogea ni ukweli kwamba hali inaendelea kutengamaa na kuwa shwari ..

zimebaki porojo za vijiweni na vumi za kichochezi kuhakikisha kuwa amani ina yumbishwa ila zote zinagonga mwamba na kufeli .

Utulivu ukisimamiwa navikosi vya usalama ume kuwa mkubwa sana na nnacho furahi zaidi ni kadiri siku zinavyo sogea ndio raisi wetu kipenzi cha wengi anazidi kuponya mioyo ya watanzania na yalio pita kusahaulika..

ni toe rai lwa wale wanao jipanga kufanya uvunjifu wa amani siku za usoni acheni na msi turudishe nyuma sisi tunasonga mbele.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.
Wasemapo Amani Amani ndipo ule uharibifu huja.
Usiwadanganye watu na upupu wako unaoongozwa na Uchawa. Acha Wenye akili wanaotaka mwisho mwema wa nchi hii waongee. Wewe ni zuzu bin zumbukuku.
 
KWA SASA NAWEZA KUSEMA AMANI IKO KWENYE KILO VYEMA
VIJANA WANAJUTA KUFUATA MKUMBO NA WAMEKATAAZ KURUBUNIWA KWA NAMNA YOYOTE
NAMPONGEZA MAMA YETU MPENDWA KWA KULIWEZA HILI KAZI NA UTU TUSONGE MBELE
 
Kadiri siku zinavyo zidi kusogea ni ukweli kwamba hali inaendelea kutengamaa na kuwa shwari ..

Zimebaki porojo za vijiweni na vumi za kichochezi kuhakikisha kuwa amani ina yumbishwa ila zote zinagonga mwamba na kufeli .

Utulivu ukisimamiwa navikosi vya usalama ume kuwa mkubwa sana na nnacho furahi zaidi ni kadiri siku zinavyo sogea ndio raisi wetu kipenzi cha wengi anazidi kuponya mioyo ya watanzania na yalio pita kusahaulika..

Ni toe rai lwa wale wanao jipanga kufanya uvunjifu wa amani siku za usoni acheni na msi turudishe nyuma sisi tunasonga mbele.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.
Usitiletee ushoga wako hapa mwanaume mzima huna soni..kwendraaa
 
Kadiri siku zinavyo zidi kusogea ni ukweli kwamba hali inaendelea kutengamaa na kuwa shwari ..

Zimebaki porojo za vijiweni na vumi za kichochezi kuhakikisha kuwa amani ina yumbishwa ila zote zinagonga mwamba na kufeli .

Utulivu ukisimamiwa navikosi vya usalama ume kuwa mkubwa sana na nnacho furahi zaidi ni kadiri siku zinavyo sogea ndio raisi wetu kipenzi cha wengi anazidi kuponya mioyo ya watanzania na yalio pita kusahaulika..

Ni toe rai lwa wale wanao jipanga kufanya uvunjifu wa amani siku za usoni acheni na msi turudishe nyuma sisi tunasonga mbele.

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA KWA MOYO WOTE.
Wewe haja kubwa. Maana nikisema ni takataka nitakuwa nimekupa heshima
 
Back
Top Bottom