Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,140
- 1,982
Usitufundishe unafiki.Kwani wewe wa chadema ulikatazwa kwenda na sare zako?mbona diwani yule kule handeni alikwenda na sare za chama chake na mkamtoa humu na pongezi na wala hakufukuzwa
Acheni infiriority complex ukisikia rais kaja vaa gwanda wahi kiti cha mbele,kulia lia hakusaidii mkuu
Naona umekuja kwa speed na povu juu