Sarakasi za Matokeo zaendelea!

wanajua kuwa shule zitakuwa hazina 'a' level mwaka huu.

watoe tu tangazo kuwa wamefaulu wote kwa kiwango cha a.

nchi yenyewe hii ya bora liende hivyo hivyo, tz imekuwa kama
haina mwenyewe.
 
Unao uhakika? Au unaropoka tu. Tena bora ungechangia na si kuanzisha mada ambayo hauna uhakika hata chembe. Acha kupotosha umma kwa mambo ya udaku na kufikirika. Hujui lolote kuhusu unachoongea

eleza sasa ukweli unaoufahamu baada kusoma na kuelewa uongo uko wapi kama hujui kitu ishia kusoma tu siyo dhambi mkuu
 
Huyu Prof.Mukandara kitambo sana tokea akiwa anaganga njaa na REDET kutoa data za uongo kumkampenia kikwete, haaminiki hata na ziara ya kwanza ya vasco walienda pamoja us baadaye akampa ukuu wa chuo UDSM, hana kitu, hana academic freedom mbele JK sababu ya njaa zake.........ndio maana maprof. critical pale udsm anawaboa wanasepa mfano baregu,mvungi, pia walizinguana mara kadhaa na marehemu prof.chachage...............hana maana huyo
 
Ukiona nchi imeingiliwa na viongozi wasio na credibility,integrity tayari ujue tatizo ni kubwa kuna nini sasa serikali haina uongozi thabiti serikali imekuwa serikali ya kudanganya wapi na wapi bwana wamechelewesha matokeo ya mitahani ya form six watoto nao wanakuwa affected psychologically hawajui hatima yao
 
Sijakupata vizuri...Mkandala akatae kuyapitisha? Anajipenda? Itabidi ajiulize mara mbilimbili kama alistahili kuwa VC wa UD kabla hajaanza kuiletea zengwe serikali. Analijua hili vizuri na hawezi kujifanya hamnazo!
 
Yani mtoto wake anasoma marekani Tanzania ndio wanawaongezea credit watoto walio feli? kweli hii ndio tanzania. na chuo kikuu tunapeleka mambumbu? lakini wajue kuwa Mungu.
 
huruma kwa wadogo\watoto wetu walimaliza Form4 mwaka jana.
bado hakieleweki, muda unazidi kupotea, gharama znazidi ktk kutatua tatizo.
wkt vijana hao wapo njia panda ktk hali ya SINTOFAHAMU.
 
Tanzania ni kibajaji, kwa njia hii tuangalie sana abiria hatukawii kufunikwa
 
Kwani hawana utaratibu wa kiofisi wa kukaimu nafasi ikiwa mkuu hayupo? na kwani hawana utaratibu wa ukomo wa maamuzi kwa anayekaimu hiyo nafasi? story yako ina haijatoa majibu ya hayo maswali.
 
Jomo kenyatta-nyerere anaongoza maiti,,,,,sijui kama mpaka leo jk bado anaongoza maiti???
 
Hujaifahamu hoja yangu! Hata kama serikali na NECTA walikaa na kukubaliana, hoja ya msingi ni kwamba haikuwa sahihi! Katika lugha ya "sikubali sikubali" ni kwamba walichofanya serikali ni kula matapishi yao lakini lugha ya kiungwana, walichofanya serikali ni kukubali udhaifu wao na kukiri kwamba walipotoka na hivyo hawana budi kurudi nyuma! Haingii akilini hata kidogo mnabadilisha GRADING kinyemela wakati watu washafanya mitihani huku hata walimu wenyewe hawafahamu kwamba grading imebadilishwa!Hili jambo linawagusa wanafunzi moja kwa moja na sio NECTA! Ukidai kwamba yaliyosemwa mengi ama sikuyasikia au sikutaka kuyatilia maanani niseme tu kwamba u're wrong; nilichoeleza kinaokana na yaliyosemwa na kuandikwa tangu sakata hili lianze....hii sio post yangu ya kwanza; nd am very sure haitakuwa ya mwisho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…