Sarah Obama tells off churches

mbona una mjaji mwenzio kihivyo?
Kwa sababu ndivyo alivyo...! Kama wewe vile ulivyo...! Nyote ndivyo mlivyo...! Hamna tofauti na jinsi mlivyo...! Siku zote mko ivyo ivyo mlivyo...! Na mtaendelea kuwa ivyo ivyo... mlivyo!
 
Pole sana, swala likiwa linahusu Uislam au Waislam ni udini, ila ingekuwa ni ukristo... tusingekusikia unauliza swali kama hilo.

kuna topic moja humu kwenye jukwaa la celebrities forum, tumeambiwa kuwa chameleone ameokoka... walishangilia na kumsifia... Hila ajabu sikukusikia ukiwauliza jamaa umuhimu wa chameleone, wala hatukusikia watu wakisema kuwa ni topic ya udini.

Gonga hapa: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/23112-chameleone-aokoka-baada-ya-yaliyomsibu-3.html

Hii sikuiona hata hivyo kwangu mimi siyo issue maana Huko kwa mwenyezi Mungu wataenda watu waswafi/watakatifu na wala siyo watetea dini.Nacho jua dini zote ni makusanyiko tu ya watu wanaoamini wanalo amini.Nadhani tuongee kwa hoja na siyo jazba na mimi huwa nina amini kuwa Mungu hatetewi na kiumbe yeyote Mungu.
 
Kwa sababu ndivyo alivyo...! Kama wewe vile ulivyo...! Nyote ndivyo mlivyo...! Hamna tofauti na jinsi mlivyo...! Siku zote mko ivyo ivyo mlivyo...! Na mtaendelea kuwa ivyo ivyo... mlivyo!

yoyo nadhani usibishane sana kwa hili maana watu hawatatofautisha..!!.
 
yoyo nadhani usibishane sana kwa hili maana watu hawatatofautisha..!!.

Hii sikuiona hata hivyo kwangu mimi siyo issue maana Huko kwa mwenyezi Mungu wataenda watu waswafi/watakatifu na wala siyo watetea dini.Nacho jua dini zote ni makusanyiko tu ya watu wanaoamini wanalo amini.Nadhani tuongee kwa hoja na siyo jazba na mimi huwa nina amini kuwa Mungu hatetewi na kiumbe yeyote Mungu.

Sasa Kahinda kama uliona si issue... maswali yote yalikuwa ni ya nini?

Kwa nini ulazimishe kuwa watu wana jazba...! Nakushangaa!

Naheshimu imani yako na mawazo yako... na ni kweli "...hawatatofautisha..!!."

Kila la kheri bro.
 
Sasa Kahinda kama uliona si issue... maswali yote yalikuwa ni ya nini?

Kwa nini ulazimishe kuwa watu wana jazba...! Nakushangaa!

Naheshimu imani yako na mawazo yako... na ni kweli "...hawatatofautisha..!!."

Kila la kheri bro.

Maswali yangu yana weza kujibiwa na mtu anayeelewa.
 
Back
Top Bottom