M Mtanzania2020 JF-Expert Member Joined May 23, 2020 Posts 1,022 Reaction score 2,276 Dec 11, 2024 #1 Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Attachments Screenshot_20241211_145227_Google.jpg 53.4 KB · Views: 20
Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 36,619 Reaction score 61,355 Dec 11, 2024 #2 Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Uongo. Ikiimarika itafika 1Dolar to 2000Tsh. Mama anaupiga mwingi
Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Uongo. Ikiimarika itafika 1Dolar to 2000Tsh. Mama anaupiga mwingi
kwa-muda JF-Expert Member Joined Sep 5, 2018 Posts 2,101 Reaction score 5,399 Dec 11, 2024 #3 Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Duh mbona kuporomoka huku kunataka kuniua kwa presha jamani.
Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Duh mbona kuporomoka huku kunataka kuniua kwa presha jamani.
moudgulf JF-Expert Member Joined Jan 23, 2017 Posts 156,201 Reaction score 770,342 Dec 11, 2024 #4 Kazi nzuri Watalaam wa uchumi waje watoe neno ili tujue vigezo alivyotumia Madelu na timu yake kupunguza gepu hilo
Kazi nzuri Watalaam wa uchumi waje watoe neno ili tujue vigezo alivyotumia Madelu na timu yake kupunguza gepu hilo
Ponjoro wa Kinondoni JF-Expert Member Joined Jan 5, 2024 Posts 2,886 Reaction score 7,929 Dec 11, 2024 #5 Ni bahati tu, hapo mwezi ujao inaporomoka kwa kasi hadi 3000
Glenn JF-Expert Member Joined May 23, 2015 Posts 70,485 Reaction score 167,271 Dec 11, 2024 #6 Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Hata black market mambo ni mazuri, imeahuka vizuri sana
Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Hata black market mambo ni mazuri, imeahuka vizuri sana
Faana JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 42,451 Reaction score 50,183 Dec 11, 2024 #7 Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Tupange maandamano kupongeza na kububujikwa na machozi
Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Tupange maandamano kupongeza na kububujikwa na machozi
S Sappire JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 5,420 Reaction score 13,460 Dec 11, 2024 #8 Akichukua tu madaraka donard trump Dola itapanda Tena na kufika 4000.uchumi wa Tz ni goigoi
milele amina JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 6,286 Reaction score 8,415 Dec 11, 2024 #9 Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Angalia pia shilling ya Kenya utuambie!
Mtanzania2020 said: Kwa siku za karibuni, sarafu ya Tanzania imepanda thamani kwa kasi dhidi ya dola ya Marekani. Kutoka 2800 hadi 2300 Kwa hili twakushukuru Rais Samia 1USD= 2375 TSH Click to expand... Angalia pia shilling ya Kenya utuambie!
ankol JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 2,628 Reaction score 4,972 Dec 11, 2024 #10 Mtushukuru sisi wa Ntwara yale matokeo ya kotosho zetu tumewaletea dola nyingi, sasa hivi hakuna uhaba wa dola kwenye stock. Mtwara oyee!
Mtushukuru sisi wa Ntwara yale matokeo ya kotosho zetu tumewaletea dola nyingi, sasa hivi hakuna uhaba wa dola kwenye stock. Mtwara oyee!