Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,041
Jamani kwa mwenye kuelewa nijulisheni hii biashara nnahitji kujiunga namimi ila sijui inafanywaje.kwa anaejua
🌚🌍Mahela yasiyoonekana huko mtandaoni😃😃
Forex ikoje mkuuHivi mnafikiri Wamarekani wapo tayari kuona USD inakuwa daoninated na huu ujinga ujinga wa kimtandao?.Wewe fanya kama forex tu,nunua asubuhi uza jioni,usikae nayo sababu any year/month hii kitu wanaiua mazima trust me.
We unahisi wataiuaje mkuu? How will they shut it down maana zinaibuka kibao kila mara na ziko decetralizedHivi mnafikiri Wamarekani wapo tayari kuona USD inakuwa daoninated na huu ujinga ujinga wa kimtandao?.Wewe fanya kama forex tu,nunua asubuhi uza jioni,usikae nayo sababu any year/month hii kitu wanaiua mazima trust me.
Oya masela kama kuna siku nitaandika kitu kama hiki naomba mfuatilie ndugu zangu walipo nianze matibabu ya akili.Trump na mabingwa wake wa uchumi wataifutilia mbali soon very soon inaenda kubaki historia.
Unasema 😀😀Trump na mabingwa wake wa uchumi wataifutilia mbali soon very soon inaenda kubaki historia.