baba ndege
Member
- Dec 30, 2018
- 25
- 3
wakuu nilikuwa naomba kwa anayeijua shule ya sanya juu aniambie ni shule ya aina gani? na ipo je
Mkuu ipo wilaya Siha..ni kilomita chache tokea wilaya ya Hai...kutokea wilaya ya Hai hadi hapo ni 1000 tuu na shule ipo karibu na barabara..ufaulu wake saiv umepanda kulinganisha na miaka ya nyumawakuu nilikuwa naomba kwa anayeijua shule ya sanya juu aniambie ni shule ya aina gani? na ipo je
Mkuu ipo wilaya Siha..ni kilomita chache tokea wilaya ya Hai...kutokea wilaya ya Hai hadi hapo ni 1000 tuu na shule ipo karibu na barabara..ufaulu wake saiv umepanda kulinganisha na miaka ya nyuma
Kila kitu kipo...maji, umeme, vyumba vya madarasa ni rafiki piana je mazingira yake mkuu
Kila kitu kipo...maji, umeme, vyumba vya madarasa ni rafiki pia
Hapana, ni single ila O-level ni day so ni mchanganyikohivi mkuu ni mchanganyiko
Hapana, ni single ila O-level ni day so ni mchanganyiko
Kama sjakuelewa!! Hao advance ni boarding na O-level ni day!! Advance wana bweni zao na zipo categorized kimadarasa!!wamechanganywa kwenye compound moja au tofauti
Kama sjakuelewa!! Hao advance ni boarding na O-level ni day!! Advance wana bweni zao na zipo categorized kimadarasa!!
Wapo eneo moja wote...madarasa yapo eneo moja..hakuna uzio unaowatenganishayani nilikuwa namaanisha hao advance na o level wapo eneo moja au wametenganixhwa na uzio labda
wakuu nilikuwa naomba kwa anayeijua shule ya sanya juu aniambie ni shule ya aina gani? na ipo je
[/QUOTE
Unatokea wapi ?
Unatotokea wapi nikupe ramani ?wakuu nilikuwa naomba kwa anayeijua shule ya sanya juu aniambie ni shule ya aina gani? na ipo je
Wapo eneo moja wote...madarasa yapo eneo moja..hakuna uzio unaowatenganisha
tangaUnatotokea wapi nikupe ramani ?
Poa poaahaaa asante mkuu
Poa poa
Andaa nauli uje..hlf najua unajua ni ya serikal ile shule..haikua na mwalim wa phyz ila alishaletwa tyr mwaka juz..ni mwanafunz mwenywko mkuu walimu wapo wa kutosha kabisa
Andaa nauli uje..hlf najua unajua ni ya serikal ile shule..haikua na mwalim wa phyz ila alishaletwa tyr mwaka juz..ni mwanafunz mwenyw
Exacltyahaaaa nimeon hata matokeo yake xio mabaya