kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
ALLY Salum [48] anayedaiwa kuwa fundi ujenzi mkazi wa Yombo Buza, amekufa baada ya kujinyonga kwa kutumia kamba ya mkonge kutokana na kuzidiwa na wivu wa mapenzi .
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, David Misime alisema kuwa marehemu huyo alikutwa amekufa juzi, majira ya saa 8.00 mchana nyumbani kwake.
Alisme Ally kabla hajachukua uamuzi wa kujinyonga aliacha ujumbe maalum uliofanya ajinyonge yeye mwenyewe.
Alisema ujumbe huo ulionyesha dhahiri kuudhiwa na mke wake baada ya kuona mabadiliko yakitabia juu yake
Ujumbe aliouacha ulisomeka , nimeamua kujinyonga kwa hiyari yangu kutokana na mke wangu kushauriwa na mama Salehe kutoka nje ya ndoa, hivyo namuachia ukumboi aendelee na hizo starehe zake, ila naomba mke wangu asibughudhiwe.
Mali nilizochuma naye zibaki mikononi mwake, asinyanganywe na mtu yeyote wala ndugu yangu yoyote, napenda kuwajulisha nilikuwa na mke mwingine mdogo yupo maeneo ya Kimbiji Kigamboni, Sanda yangu nilishaandaa siku nyingi ipo kwenye sanduku, ulieleza ujumbe huo.
Polisi wanaendelea na upelelezi huku maiti imehifadhiwa hospitali yaTemeke.
Katika tukio jingine, MTOTO wa kike [1] ameokotwa akiwa hai na wapita njia huko maeneo ya Yombo Vituka jijini Dar es Salaam.
Mtoto huyo alitupwa na mtu asiyejulikana na wasamalia wema waliopita eneo hilo walimuona na kumuokotwa nakumkuta akiwa hai
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Bw. David Misime, ilisema kuwa mtoto huyo aliokotwa juzi majira ya saa 2.15 usiku.
Alisema mtoto huyo alikutwa akiwa amefungwa na kufunikwa na kitenge na kulazwa katika njia hiyo.
Taarifa ilipoifikia polisi mtoto huyo amechukuliwa na amehifadhiwa katika Hospitali ya Temeke kwa uangalizi zaidi.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, David Misime alisema kuwa marehemu huyo alikutwa amekufa juzi, majira ya saa 8.00 mchana nyumbani kwake.
Alisme Ally kabla hajachukua uamuzi wa kujinyonga aliacha ujumbe maalum uliofanya ajinyonge yeye mwenyewe.
Alisema ujumbe huo ulionyesha dhahiri kuudhiwa na mke wake baada ya kuona mabadiliko yakitabia juu yake
Ujumbe aliouacha ulisomeka , nimeamua kujinyonga kwa hiyari yangu kutokana na mke wangu kushauriwa na mama Salehe kutoka nje ya ndoa, hivyo namuachia ukumboi aendelee na hizo starehe zake, ila naomba mke wangu asibughudhiwe.
Mali nilizochuma naye zibaki mikononi mwake, asinyanganywe na mtu yeyote wala ndugu yangu yoyote, napenda kuwajulisha nilikuwa na mke mwingine mdogo yupo maeneo ya Kimbiji Kigamboni, Sanda yangu nilishaandaa siku nyingi ipo kwenye sanduku, ulieleza ujumbe huo.
Polisi wanaendelea na upelelezi huku maiti imehifadhiwa hospitali yaTemeke.
Katika tukio jingine, MTOTO wa kike [1] ameokotwa akiwa hai na wapita njia huko maeneo ya Yombo Vituka jijini Dar es Salaam.
Mtoto huyo alitupwa na mtu asiyejulikana na wasamalia wema waliopita eneo hilo walimuona na kumuokotwa nakumkuta akiwa hai
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Bw. David Misime, ilisema kuwa mtoto huyo aliokotwa juzi majira ya saa 2.15 usiku.
Alisema mtoto huyo alikutwa akiwa amefungwa na kufunikwa na kitenge na kulazwa katika njia hiyo.
Taarifa ilipoifikia polisi mtoto huyo amechukuliwa na amehifadhiwa katika Hospitali ya Temeke kwa uangalizi zaidi.